startergear
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 772
- 1,005
Kwani wamekwambia zile ni ngumi za kulipwa? Kwamba lazima upigane physically?Magaidi wa Israel,wanavizia kwa kupiga kwa mabomu ya ndege.Na kuua watoto na wanawake,badala ya kupigans na wanaune.
Ile ni vita yakhe unapigwa kwa namna yoyote ile halafu hao waarabu unaowasifia ona walichowafanya babu zako