Hamas wameibamiza Israel kwenye kona baada ya kukubali kusitisha vita na kuachia mateka. Netanyahu alaumiwa na kila mtu

Anajaribu kujitoa kimasomaso baada mkakati wake wa kuhakikisha mateka wanakombolewa kwa mabavu umeshindwa!
nan alikwambia anafuata mateka ? wameifa watu 34000 ila ww huoni hili unaona mateka 460 tu , uislam ni ushetan haujali hatima za waumin wake zinajali kuwaumiza makafir tu
 
HAMAS ni Wanaume🤭😁😆
wanaume kwa kuanzisha vita na Kuomba poo ? waislam ni jamii fulan ya watu wajinga wajinga , licha ya vifo 34000 vya wapalestina kwa ujinga wa Hamas ila bado wajinga mnapata nguvu ya kuwasifia , wayaud hawapandi vita ila waislam mnawachokoza wayaud kama mfanyavyo huku Afrika

Uislam sio dini ya mungu , ni Ushetani mtupu , ndio maana waumin wake hawaoni vifo vya wapalestina 34000 ila wanafurahia mateka 460 ambao hawajaokolewa , kabla ya uvamiz Netanyau alisema hana mpango wa kuvamia iwapo mateka wataachwa ika waislam na mashosti zao wakagoma leo hii wanamlaumu Netanyau , hii dini ni ya hovyo kwel kwel
 
Walio malizwa ni wengi aisay we huoni Netanyahu anaogopa vita ikisha anaenda jela tu 😄

Hakuna alicho kifanya zaidi ya kumaliza wanajeshi wa Israel na kuwauwa watoto na wanawake wa Palestine wasio na hatia.

Hamas wapo pale pale atake asitake.

Sisi swali letu ni moja tu wakristo wote karibuni walisema Israel ataimaliza Hamas wao na Netanyahu, je wamemalizwa Hamas 😄
Hamas wametema bungo, wamepima kina wakaona tutaisha na wananchi wataisha. Israel hana utani kama nchi za Ulaya na USA. Je sharti la two states solution limezingatiwa?
 
Wanaume gani wanapigana kwa kuvizia, wanaume ni kupigana uso kwa macho!
Hamas wanashambulia kwa kushtukiza halafu wanakimbilia kwenye mapango kama panya huku wengine wanajifichia mwenye makazi ya raia.
Magaidi wa Israel,wanavizia kwa kupiga kwa mabomu ya ndege.Na kuua watoto na wanawake,badala ya kupigans na wanaune.
 
wanaume kwa kuanzisha vita na Kuomba poo ? waislam ni jamii fulan ya watu wajinga wajinga , licha ya vifo 34000 vya wapalestina kwa ujinga wa Hamas ila bado wajinga mnapata nguvu ya kuwasifia , wayaud hawapandi vita ila waislam mnawachokoza wayaud kama mfanyavyo huku Afrika

Uislam sio dini ya mungu , ni Ushetani mtupu , ndio maana waumin wake hawaoni vifo vya wapalestina 34000 ila wanafurahia mateka 460 ambao hawajaokolewa , kabla ya uvamiz Netanyau alisema hana mpango wa kuvamia iwapo mateka wataachwa ika waislam na mashosti zao wakagoma leo hii wanamlaumu Netanyau , hii dini ni ya hovyo kwel kwel
Wawasifia magaidi wenzako wa Israel.
 
nan alikwambia anafuata mateka ? wameifa watu 34000 ila ww huoni hili unaona mateka 460 tu , uislam ni ushetan haujali hatima za waumin wake zinajali kuwaumiza makafir tu
.wawasifia magaidi wenzako wa Israel.Wakati kuna wakristo kibao wameuliwa na magaidi wa Israel.
 
Hayo Makubaliano wameingia na Israel ipi haswa? maana inashangaza even netanyahu hajui.. Maana Israel ilitoa wiki moja tu kwa Hamas wakubali Matakwa na Marekani ameshaambiwa Israel hana namna zaidi ya kuichakaza Rafah last strongholds ya Magaidi
Anajifanya kama hajui kuwaridhisha wapenda vita wenzake wachache.Lakini atapewa taarifa kamili karibuni hivi.
 
Anajaribu kujitoa kimasomaso baada mkakati wake wa kuhakikisha mateka wanakombolewa kwa mabavu umeshindwa!
Netanyahu anatamani asingetaja mateka kama moja ya malengo ya vita kwani kwa hilo ameshindwa kwa asilmia 97.Sasa amebakiwa na kuwamaliza Hamas ambao bado wanampiga chenga za maana sana.
 
Netanyahu anatamani asingetaja mateka kama moja ya malengo ya vita kwani kwa hilo ameshindwa kwa asilmia 97.Sasa amebakiwa na kuwamaliza Hamas ambao bado wanampiga chenga za maana sana.
Kweli kabisa naona HAMASA wamefanikiwa sana pale GAZA😂

Kupata vichekesho kama hivi unabonyeza ngapi 😂
 

Attachments

  • E3A6B998-B96F-497F-A123-01BBBB0B157A.jpeg
    E3A6B998-B96F-497F-A123-01BBBB0B157A.jpeg
    237.8 KB · Views: 2
  • 024D6D9F-F105-47B9-8F5F-C2268909CC1F.png
    024D6D9F-F105-47B9-8F5F-C2268909CC1F.png
    950.2 KB · Views: 3
tumechoka kuona mauaji ya watoto wadogo wasio na hatia.
ICC is waiting for Netanyahu.
 
Hujamjibu swali lake unaruka ruka Kama demu anayetaka kufika kileleni! Mjibu kwa hoja je yahudi hakuingia gaza kwa miguu? Wewe unadhani akiingia Rafah atayepata hasara ni mpalestina au mwebrania

Au mnafurahia mademu zenu wa kipalestina wanavyouawa Kama kuku?
Wewe utakuwa unatafuta basha kwa nguvu yaani mimi nipoteze muda wangu kujibishana na mashoga?
 
Vyovyote itakavyokuwa wamecheza kama pele na wamefunga goli la ushindi.
Wanaacha mateka alafu Israel wanarudi tena vitani kwasababu zingine, then mnaanza tena yowe...hakuna wa kumfunga kamba Israel, mwaka huu wapalestina nawaonea huruma sana...dunia imewatenga.
 
Wanaacha mateka alafu Israel wanarudi tena vitani kwasababu zingine, then mnaanza tena yowe...hakuna wa kumfunga kamba Israel, mwaka huu wapalestina nawaonea huruma sana...dunia imewatenga.
Mungu yuko pamoja nao.
Wanaowatenga wapalestina karibu hivi na wao Mungu atawatenga na kuwatenganisha kwa namna anayoijua mwenyewe.
 
Punguza kuota Israel alisema ataimaliza Hamasi na kasaidiwa na US na Europe nzima Hamasi wanaume imebidi US na warabu wakawabembeleze na kutoa ahadi ya kuijenga tena Gaza, na Silaha za Hamasi au viongozi wa Hamasi wapo pale pale sa Israel kafanya nini 😄
Nimeelewa akili yako tofauti na yangu kiulewa.

Umeshindwa kunielewa so endelea kuota.
 
Si tumeisha mjibu Israel alisema hatoki Gaza mpa awamalize Hamas hataki peace wala nini na Hamas hio ndio kauli ya Netanyahu na viongozi wa US kuanzia Biden na wasaidizi wake mpaa kile kimama Hillary Clinton mpo wapi? Mnabembeleza kila kukicha Hamas asimamishe vita 😄

Swali lingine nyie simnasemaga Israel akipigwa lazima arudishe kipigo, Yemen kila mara anaipiga Israel anapiga meli zao pia, hebu nipe wapi Israel karusha hata jiwe Yemen 😄
Wewe kuna mawili:-

1. Aidha una umri chini ya miaka 20 maarufu kama (U-20) AU

2. Kama uko above 20, basi hauna elimu yoyote ya maana tofauti na ile mliyozoea ya Madrassat ambayo kikawaida haipanui thinking capacity ya mtu ila ni kudumaza akili tu.
 
Hamas imetoa tangazo rasmi la kukubali mapendekezo ya kusitisha vita na kuachia baadhi ya madai yao.

Tangazo hilo limeleta furaha kubwa kwa watu wa Gaza na hata Israel japo limekuja huku Israel imeshatoa tangazo la kuhamisha watu mashariki ya Rafah tayari kurudia mashambulizi yale ya nguvu yaliyozoeleka kuanzia kaskazini mpaka Khani Younis.

Dalili za Hamas kukubali kusitisha vita zilikwishaonekana na majibu ya Netanyahu hayakuwaridhisha wananchi wengi wa Israel wakiongozwa na kiongozi wa upinzani,Yair Lapid.

Viongozi wa Hamas wakiungwa mkono na nchi zinazosimamia upatanishi wamemlaumu sana Benjamin Netanyahu kuwa kwa hamu yake ya kuendeleza vita akitaraji kubadili upepo kuwa ndiye kikwazo katika juhudi hizo za kumaliza vita.

Kwa tangazo hili rasmi la Hamas ni lazima kwa Israel kufuta mpango wa kuivamia Rafah au kuendelea na kushindwa moja kwa moja.

Hatua ya kuendelea kuinjgia Rafah na kuuwa mamia ya maelfu ya watu tena kunahatarisha zaidi kuwavuta Misri na Jordan kuvunja mikataba ya amani waliyowekeana na Israel.

Gideon Levy ambaye ni mwandishi mashuhuri wa gazeti la Haaretz amesema Hamas wamecheza sana kwa hatua waliyochukua ambapo wameiwacha serikali ya Israel ikiwa imeduwaa.
hivi Rafah kuna nini cha muhimu zaidi hadi HAMAS wanaogopa kuvamiwa hapo? au ndiko boss wao alipojificha?
 
Sasa kama wanakaa mapangoni mbona bado askari wa kizayuni wanateketea kila uchwao na mapigano ni ya moto haswa?

Acha kulishwa upepo na mashoga dunia ya leo una vyanzo vingi vya kujipatia taarifa usisubiri propaganda za mashoga.
Ni kama watu walivyoaminishwa kwamba Israel ni taifa kuuuuubwa lenye minguvu na hakuna taifa lolote litakalothubutu kurusha hata jiwe ndani ya ardhi ya Israel.

Ukweli ni kwamba Israel ni kama Burundi tu maana kamiminiwa mvua ya makombora na drones na Iran na zikapiga target kama Waajemi walivyojichagulia maeneo ya kupiga.

Amefanya niini huyo Zayuni zaidi ya kuingiwa baridi?
Haya tufanye wewe ni agent wa CIA baada ya kuwashushia mvua ya makombora Israel then ikawaje? Wameteka nchi ?wamesimika mtawala wao pale?
 
Back
Top Bottom