Wild Flower
Member
- Jul 20, 2023
- 88
- 105
Wakuu habari,
Embu tujadili hili swala hapa. Mimi baada ya kumaliza form 6 niliamua kujitolea kwenye shule fulani hivi ya sekondari nikisubiri kujiunga na chuo kikuu.
Sasa bwana pale kuna changamoto nilikutana nayo kwamba kuna supervisor wangu alinielewa. Mimi nikamkatia bwana kwa sababu siwezi kuwa na mahusiano na mtu ambae niko nae kwenye mazingira ya kikazi maana najua lazima kuna namna moja au nyingine itaathiri utendaji wa kazi.
Yule msela alinisumbua bwana yaani sehemu ya kazi ikageuka a living hell hadi akitolea remarks mbovu hadi nikafukuzwa na headmaster wa pale. Hilo tukio sitakaa nilisahau kwa kweli lakini nilijifunza vitu vingi sana.
Na nyie mmeshawahi kukutana aua unakumbana na situation kama hii au changamoto yoyote umewahi kukutana nayo sehemu ya kazi kama mfanyakazi, intern au volunteer?
Embu tujadili hili swala hapa. Mimi baada ya kumaliza form 6 niliamua kujitolea kwenye shule fulani hivi ya sekondari nikisubiri kujiunga na chuo kikuu.
Sasa bwana pale kuna changamoto nilikutana nayo kwamba kuna supervisor wangu alinielewa. Mimi nikamkatia bwana kwa sababu siwezi kuwa na mahusiano na mtu ambae niko nae kwenye mazingira ya kikazi maana najua lazima kuna namna moja au nyingine itaathiri utendaji wa kazi.
Yule msela alinisumbua bwana yaani sehemu ya kazi ikageuka a living hell hadi akitolea remarks mbovu hadi nikafukuzwa na headmaster wa pale. Hilo tukio sitakaa nilisahau kwa kweli lakini nilijifunza vitu vingi sana.
Na nyie mmeshawahi kukutana aua unakumbana na situation kama hii au changamoto yoyote umewahi kukutana nayo sehemu ya kazi kama mfanyakazi, intern au volunteer?