Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Buguruni vitu vya shambani bei rahisi sana,na panawafaa vijana majobless wanaojitafuta

Unakuta nyanya au ndizi zimepangwa fungi utadhani muuzaji anataka kumaliza fasta ili aondoke,kumbe ndiyo wanavyopanga. Na Biashara hadi usiku.

Asubuhi mapema Ukiwa na buku mbili unaibukia vinginguti unarudi na mfuko wa nyama ya ng'ombe ya kutosha.

Tatizo la buguruni ni nyumba tu za hovyo,hakuna nyumba standard,kunafanana na manzese,vinginguti na tandika.
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500,
Wali ule unaouzwa 2000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Mkuu una uhakika hiyo nyama ni ya ng'ombe? Hebu sikilizia vizuri ladha yake. Mjini kuna mambo mengi.
 
ooooohhh kumbe msamvu nao wapo?
Ngoja nikutafutie ushahidi nisije nikashambuliwa na watu wa huko 👇
 
Ngoja nikutafutie ushahidi nisije nikashambuliwa na watu wa huko 👇
aisee hatar na nusu
 
Buguruni vitu vya shambani bei rahisi sana,na panawafaa vijana majobless wanaojitafuta

Unakuta nyanya au ndizi zimepangwa fungi utadhani muuzaji anataka kumaliza fasta ili aondoke,kumbe ndiyo wanavyopanga. Na Biashara hadi usiku.

Asubuhi mapema Ukiwa na buku mbili unaibukia vinginguti unarudi na mfuko wa nyama ya ng'ombe ya kutosha.

Tatizo la buguruni ni nyumba tu za hovyo,hakuna nyumba standard,kunafanana na manzese,vinginguti na tandika.
Kuna mtaa Buguruni upo pale stendi ya daladala za Ilala hafu unaingia kushoto sijui kunaitwaje kule. Aisee. Shikamoo.
 
Back
Top Bottom