Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Kama hivi buku 200.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    1.5 MB · Views: 2
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!

View attachment 2982368
Ukihama niachie room yako,huku kwetu hali si hali.
 
Mwaka jana nimekunywa juice mbovu kabisa Serena hotel kwa shilling 10,000/= wakati mtaani kuna juice bora kabisa glasi jero tu.
Kinachofanya Serena iwe ghali siyo ubora wa vyakula per se. Hata bia kama Safari pale inaweza kuuzwa bei kubwa mara nne au zaidi ya inavyouzwa kwenye bar ya mataptap Kawe. Umenikumbusha mzee mmoja aliambiwa bei ya sahani ya wali kwenye hotel ya nyota tano akawa anasema ''si bora nikanunue gunia la mchele''.
 
Supu ya mapupu,vichwa na utumbo wa kuku,kende za ng'ombe,al kasus,mishikaki ya sh.200,misosi ya Buguruni haiaminiki
 
Huu uzi umenikumbusha ktu. Pale manzese bhakressa mida ya jion hua kuna wamama wanapanga meza zao pale nje ya soko wanauza supu jero, maandaz mia mia. Ukiwa na buku unapata supu na mandazi matano😀

Afu ukitoka pale unashuka na ile barabara direct hadi uwanja wa fisi!!
 
Back
Top Bottom