Biteko: TANESCO inanunua umeme wa Megawati 31 kutoka Uganda na Zambia

Bwege wewe,Rukwa na Katavi imeungwa na Grid ya Taifa? Kigoma yenyewe umeme wa grid ya Taifa umewashwa pale Mjini? Lindi na Mtwara Je?
Sawa mimi ni Bwege.
Wewe mwenye akili timamu sasa niambie ilikuwaje wakati wa mgao wa umeme wa nchi nzima, hiyo mikoa ya Rukwa, Katavi na Kagera mgao ndio ulikuwa mkali kupita maelezo?
 
Sawa mimi ni Bwege.
Wewe mwenye akili timamu sasa niambie ilikuwaje wakati wa mgao wa umeme wa nchi nzima, hiyo mikoa ya Rukwa, Katavi na Kagera mgao ndio ulikuwa mkali kupita maelezo?
Kwanza hiyo Mikoa hakukuwa na mgao na Mimi Niko mojawapo ya Mikoa inayotumia umeme wa kutoka Nchi jirani.
 
Kwanza hiyo Mikoa hakukuwa na mgao na Mimi Niko mojawapo ya Mikoa inayotumia umeme wa kutoka Nchi jirani.
Acha kuongea uongo hapa.
Mgao wa umeme ulitandika nchi nzima, na mikoa tajwa mgao ndio ulikolea kupita maelezo.
Hakuna mkoa ambao haukuguswa na mgao wa umeme safari iliyopita.
 
Back
Top Bottom