Balozi Battle : Ni Dhambi Nchi Nyingine Kuchukua Mali zako na Kutengeneza Pesa.Aunga Mkono Serikali Kuanzisha Viwanda Vya Kuongeza thamani ya Madini.

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
45,536
52,579
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Dr.Michael Battle amesema ni Dhambi na sio sawa kimaandiki Kwa Nchi yeyote iwe Marekani au China kuja Nchini mwenu na kuchukua Rasilimali Kisha kwenda kutengeneza pesa huko Kwao na nyie mkiachiwa umaskini.

Balozi Battle alikuwa akitoa hoja kwenye jukwaa la wadau wa Demokrasia.

Balozi Battle amesema ongezeko kubwa la watu Tanznaia linahitaji mkakati wa Uchumi wa viwanda Ili kuwa na ustawi vinginevyo Hali inaweza kuwa mbaya.

Hivyo ameunga mkono mkakati na Maelekezo ya Serikali ambayo yanataka Kuanzia Sasa Wawekezaji wanapotaka Madini ya Tanzania waanze kujenga viwanda vya kuongeza thamani vinginevyo hawatawapa leseni.

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1791503550914195537?t=3KFawDRYo9A8A00p9FmU5A&s=19

My Take
Hili ni Dongo Kwa Wachina Kwa sababu Marekani inaenda kuanzisha kiwanda Cha kutengeneza betri za magari Kahama.Nadhani mnakumbuka ziara ya Haris Kamala.

View: https://www.instagram.com/p/C7ElU8HtKs-/?igsh=aTdrZHpvN3ZjMG11
 
Sasa hilo nalo mpaka tuambiwe na Balozi wa USA.

Tutambue pia hakuna atakayetuonea huruma Kwa ujinga wetu na kushindwa kwetu kufikiri, duniani kila Taifa linapambana kwaajili ya watu wake na vizazi vyake na ukilemaa RASIRIMALI zako zitatumika kujenga mataifa mengine.

Ndio maana tunasisitiza umuhimu wa uongozi imara na madhubutu utakaokuwa strong kusimamia rasirimali zetu na kuzilinda zinufaishe Taifa letu na watu wake.
 
Sasa hilo nalo mpaka tuambiwe na Balozi wa USA.

Tutambue pia hakuna atakayetuonea huruma Kwa ujinga wetu na kushindwa kwetu kufikiri, duniani kila Taifa linapambana kwaajili ya watu wake na vizazi vyake na ukilemaa RASIRIMALI zako zitatumika kujenga mataifa mengine.

Ndio maana tunasisitiza umuhimu wa uongozi imara na madhubutu utakaokuwa strong kusimamia rasirimali zetu na kuzilinda zinufaishe Taifa letu na watu wake.
Kama sio ushindani wa China na USA hakuna Mwekezaji angeweka viwa da vya value addition sio tuu Tanznaia Bali Afrika.

Hii initiative imeletwa na Geopolitics ya USA vs China,kabla ya hapo ilishindikana.
 
Kama sio ushindani wa China na USA hakuna Mwekezaji angeweka viwa da vya value addition sio tuu Tanznaia Bali Afrika.

Hii initiative imeletwa na Geopolitics ya USA vs China,kabla ya hapo ilishindikana.
Hakuna cha Geopolitical sijui nini, hizi ni theory tu ndugu za kwenye makaratasi jaribu kuwa more practical kuacha kukubali uongo rahisi.

JAPAN anakiwanda cha kuchenjua makinikia miaka na miaka pale, Thailand anaingizia hela nyingi kupitia madini huku hana mgodi hata mmoja, Singapore anarefinery plant kubwa sana huku hana mafuta, Dubai anaingiza hela nyingi sana kupitia dhahabu na madini mengine huku hana mgodi nk. HAO WOTE NI HIYO SIJUI UNAITA GEOPOLITIC SIJUI NINI?.. TUSILETE EXCUSE KWA KUSHINDWA KWETU KUFIKIRI NA UJINGA WETU MWINGI.

Mwafrica kwanini ategemee muwekezaji kutoka huko sijui wapi aje amuwekee hizo plant huku anamiliki dhahabu ardhini kama sio UKOSEFU WA AKILI NA VIONGOZI WAJINGA WA AFRICA WALIOKUWA NA AKILI FUPI.
 
Hakuna cha Geopolitical sijui nini, hizi ni theory tu ndugu za kwenye makaratasi jaribu kuwa more practical kuacha kukubali uongo rahisi.

JAPAN anakiwanda cha kuchenjua makinikia miaka na miaka pale, Thailand anaingizia hela nyingi kupitia madini huku hana mgodi hata mmoja, Singapore anarefinery plant kubwa sana huku hana mafuta, Dubai anaingiza hela nyingi sana kupitia dhahabu na madini mengine huku hana mgodi nk. HAO WOTE NI HIYO SIJUI UNAITA GEOPOLITIC SIJUI NINI?.. TUSILETE EXCUSE KWA KUSHINDWA KWETU KUFIKIRI NA UJINGA WETU MWINGI.

Mwafrica kwanini ategemee muwekezaji kutoka huko sijui wapi aje amuwekee hizo plant huku anamiliki dhahabu ardhini kama sio UKOSEFU WA AKILI NA VIONGOZI WAJINGA WA AFRICA WALIOKUWA NA AKILI FUPI.
Umeandika point sn mkuu, tatizo ni CCM kutuletea viongozi wajinga na wala rushwa
 
Sasa hilo nalo mpaka tuambiwe na Balozi wa USA.

Tutambue pia hakuna atakayetuonea huruma Kwa ujinga wetu na kushindwa kwetu kufikiri, duniani kila Taifa linapambana kwaajili ya watu wake na vizazi vyake na ukilemaa RASIRIMALI zako zitatumika kujenga mataifa mengine.

Ndio maana tunasisitiza umuhimu wa uongozi imara na madhubutu utakaokuwa strong kusimamia rasirimali zetu na kuzilinda zinufaishe Taifa letu na watu wake.
Ni kwa ujinga wa watawala wetu mkuu, sijui nje huwa wanaenda kujifunza nini?
 
Back
Top Bottom