Ukipigwa mtaani na mtu yeyote haijalishi yuko kwenye uniform ya jeshi au kiraia, nenda kashtaki Polisi.
Askari wa TPDF haruhusiwi ku harass raia kwa namna yeyote ile
Mtu mwenyewe unaitwa Restless Hustler halafu unajipendekeza kupita maeneo ya jeshi, ulitegemea wakuache? Jeshini siyo soko la Tandale au Station ya Mwendokasi ambapo hata wazembe utawakuta. Lile ni eneo la wakakamavu tu
Asante kwa mada hii. Nashauri elimu kuhusu jeshi isitolewe bali tubaki na uelewa huohuo ndiyo lina make sense.
TPDF siyo kama TTCL au VODACOM au TANESCO kila mtu alijuwe. Hivyo ndivyo jeshi linapaswa kuwa. Yaani lisizoeleke kabisa ndiyo ufanisi wake utakuwa mkubwa.
Tuliza makalio. Akili yako ni ndogo kuelewa kwa nini jana Eunice akitumia alili mnemba (Artificial Intelligence) alikuwa ndiye mkaribisha wageni bungeni na kutoa ile summary ya malengo ya wizara ya mawasiliano.
Dunia yote inakwenda kiteknolojia kuanzia elimu, utafiti, vita, usafirishaji na hadi...
Ana set pace then watendaji wake wata follow track. Sioni ubaya. Ila kama umedhulumu kiwanja cha mtu lazima umuone Jerry Silaa ni kero au mvunja utaratibu
Wewe wetangula ni mnufaika wa mfumo au ni mfanyakazi wa eGA. Ni kitu gani kinakuaminisha kuwa Rais ameingia chaka.
Hivi haya makitu yote kuwa ofisi ya Rais yanaleta tija gani? Treasury Registrar, ATCL, eGA etc
Lazima tufuate utawala wa sheria. Ukiacha haya mambo yaendelee kama amavyosema hiyu HAYAWANI Chalamila then tutakuwa ni Jamhuri ya ndizi (Banana Republic)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.