Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,977
- 32,545
hapana elezea kidogo mkuuUmeshasema siyo kweli hivyo hata nikifafanua hautaamini
hapana elezea kidogo mkuuUmeshasema siyo kweli hivyo hata nikifafanua hautaamini
NDIOPia akaongezea hao watu wakipewa amri ya kuua mahali popote ni lazima kutekeleza bila kuhoji!
Polisi ni raia tukukitokea taharuki au sintofahamu yoyote kubwa katika nchi wao ndio kila kitu na hadi polisi wanageuka kuwa raia!
mnawaona raia kwasababu mnashinda nao mda mwingiPolisi ni raia tu
ni sahihi ila jeshi kumbuka linatumia nguvu kwa 60% then izo zingin ni akili na uzoefHata kama kosa lilikuwa la kwake wanajeshi hawaruhusiwi kupiga raia katika nchi yenye amani kwa sababu yoyote ile.
Kuna chenja moja hua wanaimba jeshinimnawaona raia kwasababu mnashinda nao mda mwingi
kuwa kama mjeda push up kwenye kokoto haiwezekani .........Kuna chenja moja hua wanaimba jeshini
"...usiwe kama polisi push-up kwenye godoro..."
Asante kwa mada hii. Nashauri elimu kuhusu jeshi isitolewe bali tubaki na uelewa huohuo ndiyo lina make sense.Wiki iliyopita katika mizunguko yangu ya kusaka noti nilipanda daladala iliyokatiza Kurasini, kuna mahali magari yakasimama kuruhusu wanajeshi wengi waliokuwa wakivuka barabara kwa makundi huku wakiimba nyimbo zao.
Kama mnavyojua Watanzania ni watu wanaopenda na wazuri sana kuanzisha soga popote hata kama hawafahamiania, basi soga au stori za kupoteza muda kuhusu jeshi na wanajeshi zikaanza kwa mshwashwa mkubwa kila upande,
Wa kwanza niliyemsikia alikuwa ni kondokta, yeye alisema hao ndio wenye nchi yao tutulie tu wapite hatuwezi kushindana nao.
Mzee Mwingine aliyevalia kaunda suti wa miaka kama 55 hivi akasema tuogope sana watu waliofundishwa kuua tu, hao ni watu huwezi kushindana nao kabisa!, alikuwa akiyarudia haya maneno kila mara. Pia akaongezea hao watu wakipewa amri ya kuua mahali popote ni lazima kutekeleza bila kuhoji!
Mwanaume mwingine wa makamo akasema hapo huwezi kutofautisha kati ya mwanaume na mwanamke, cha ajabu mimi nilikuwa naona tofauti hiyo tena niliona mabinti wengi tu warembo sana katik hao wanajeshi.
Mwingine alisema kukitokea taharuki au sintofahamu yoyote kubwa katika nchi wao ndio kila kitu na hadi polisi wanageuka kuwa raia!
Katika hayo mastori pia kulitokea jinsi gani zamani wanajeshi walivyokuwa wababe wakichapa watu mitaani.
Mwingine akasema jeshini hakuna sheria ni amri tu!
Itoshe kusema mengi niliyoyasikia yalikuwa ni upotoshaji mkubwa, mtazamo finyu, uongo na chumvi nyingi kuhusu jeshi. Mastori ya aina hii yamejaa mitaani na kwenye vijiwe vya kahawa, hiyo inamaanisha jeshi linahitaji uwekezaji mkubwa katika elimu kwa raia kuwapa mwanga kidogo kuhusu historia, maisha ya wanajeshi na majukumu muhuimu ya jeshi ili kuondokana na vihiyo makanjaja wapotoshaji
ukizingua unapigwa na huna pakwenda kusemaKupiga raia kiholela hivyo hata jeshi halipaswi kuhusishwa, ni ujinga na ushamba tu wa baadhi ya watu.
Ikiwa uliona wasichana warembo hukuelewa mada!Wiki iliyopita katika mizunguko yangu ya kusaka noti nilipanda daladala iliyokatiza Kurasini, kuna mahali magari yakasimama kuruhusu wanajeshi wengi waliokuwa wakivuka barabara kwa makundi huku wakiimba nyimbo zao.
Kama mnavyojua Watanzania ni watu wanaopenda na wazuri sana kuanzisha soga popote hata kama hawafahamiania, basi soga au stori za kupoteza muda kuhusu jeshi na wanajeshi zikaanza kwa mshwashwa mkubwa kila upande,
Wa kwanza niliyemsikia alikuwa ni kondokta, yeye alisema hao ndio wenye nchi yao tutulie tu wapite hatuwezi kushindana nao.
Mzee Mwingine aliyevalia kaunda suti wa miaka kama 55 hivi akasema tuogope sana watu waliofundishwa kuua tu, hao ni watu huwezi kushindana nao kabisa!, alikuwa akiyarudia haya maneno kila mara. Pia akaongezea hao watu wakipewa amri ya kuua mahali popote ni lazima kutekeleza bila kuhoji!
Mwanaume mwingine wa makamo akasema hapo huwezi kutofautisha kati ya mwanaume na mwanamke, cha ajabu mimi nilikuwa naona tofauti hiyo tena niliona mabinti wengi tu warembo sana katik hao wanajeshi.
Mwingine alisema kukitokea taharuki au sintofahamu yoyote kubwa katika nchi wao ndio kila kitu na hadi polisi wanageuka kuwa raia!
Katika hayo mastori pia kulitokea jinsi gani zamani wanajeshi walivyokuwa wababe wakichapa watu mitaani.
Mwingine akasema jeshini hakuna sheria ni amri tu!
Itoshe kusema mengi niliyoyasikia yalikuwa ni upotoshaji mkubwa, mtazamo finyu, uongo na chumvi nyingi kuhusu jeshi. Mastori ya aina hii yamejaa mitaani na kwenye vijiwe vya kahawa, hiyo inamaanisha jeshi linahitaji uwekezaji mkubwa katika elimu kwa raia kuwapa mwanga kidogo kuhusu historia, maisha ya wanajeshi na majukumu muhuimu ya jeshi ili kuondokana na vihiyo makanjaja wapotoshaji
Utakubali tu kama wewe ni shoga. TPDF wamefundishwa nidhamu ya hali ya juu. Na ukigundulika kuwa ni shoga au tasa huajiliwi kuleHaya ni mawazo ya kizamani kabisa ila ndivyo watanzania wengi wanavyoamini. Mtu kama wewe akija mwanajeshi na kukumbia uvue suruali umridhishe haja zake bila shaka utakubali bila kinyongo ukidhani ni jukumu lako kufanya hivyo
and is the most effective kwa hao hao watu wazimaHizi ni very outdated na simple myths kuaminika kwa watu wazima wa kileo.
Kuna nchi nyingi tu duniani hazina majeshi,
Umekariri au kukaririshwa vibaya.