Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,788
- 38,563
Type majina ya wanao wakikupoteza tuwasomeshe
Eneweiz muda utaongea lakini katika taasisi zilizokuwa zinapokea fedha nyingi, tena bila kwikwi hawa eGA wamo.Makosa yalifanyika awali kwenye kuitengeneza na kuipa mamlaka, Na ndo maana nasema eGA was not even supposed to exist. So itapapaswa papaswa na mwisho itakufa tu.
Watangaze tenda kampuni zifanyiwe vetting zipige kazi. Mbona Microsoft anasimamia mifumo ya White House, TZ ina siri gn zinazoizidi white house?
Sanaaaa, Kama tu eGa ina assemble na ku develop Softwares ambazo zina handle Milions of sms Pushing kwenda kwa Customers per Day (MAJIIS), hao watu bado wanabezwa tu?. Tuwe wazalendo na vya kwetu, Tusimwamini Mhindi tu, tukadharau vya kwetu.Ega Ni taasisi muhimu sana ndio maana Magufuli Aliona iwe chini ya ofisi ya Raisi... Wahuni wanataka kufanya Yao.. kingine naomba MODs mtujibu servers zenu sahivi mnazotumia Ni zile za Kwanza au mme hamishia Tanzania?..😂😂😂😂 maana nasikia harufu
😀😅MkuuAu unataja eGA iendelee muendelee kupeana kazi kwa kujuana. Waiue tu, haina faida kwa maslahi mapana ya nchi na kiuchumi
Miaka yote hii mumetengeneza mfumo wa maji tu? Na mfumo wenyewe bado wasoma mita wanachukua taarifa manually na kutubambikia bills. eGA munastahili kusambaratishwa tueGa ina mifumo bora kabisa na ya kisasa, can imagine mfumo wa MAJIIS unahudumia mamlaka za maji za nchi hii, kuna mamlaka zina wateja zaidi ya laki tano Ie. DAWASA, kuna mamlaka zina wateja zaidi ya laki na ushehee ARUSHA WSSA, MWANZA WSSA, IRINGA WSSA, DUWASA WSSA, MBEYA WSSA, TANGA WSSA, na mfumo una stahimili kikamilifu ku handles those big Data, eGa ibaki vile vile nchi yetu isoge mbele.
Nchii hii na sisi wazapendo wa nchii tunaihitajii sana eGa.
Uko usingizini huwezi kunielewaInaelekea Mleta mada ana maslahi binafsi na eGA kubaki utumishi. Kwani ni nani amesema eGA ikihamia Wizara ya Mawasiliano itaacha kufanya kazi inayofanya sasa hivi?
Kuhamishia taasisi kwenye wizara ni jambo la kawaida. Kilichopendekezwa hapa ni mambo yote yahusuyo TEHAMA yawe pamoja ili kurahisiha uratibu. Sera na sheria za TEHAMA ziko chini ya Mawasiliano sasa taasisi inayotekeleza hiyo sera inakuwaje chini ya utumishi
Wewe mwenyewe hujielewi kwa nini tukueleweUko usingizini huwezi kunielewa
Mkuu naomba kujua uhusiano kati ya MUSE na hiyo ERMSLeo hii tuna control number, bila eGa control number isigekuwepo.
Control number imesaidia sanaaaaa, makusanyo yalikuwa yanaishia matumboni mwa watu ambao si wazalendo wa nchi yao.
Nchi yetu itoe sheria ya lanzima, ERMS itumike kwenye taasisi zote za KIHASIBU nchi Nzima.
Naamini serikali iki u trust mfumo wa ERMS tutaendelea sana, na serikali itakusanya mapato yake ipasavyo.
Wewe wetangula ni mnufaika wa mfumo au ni mfanyakazi wa eGA. Ni kitu gani kinakuaminisha kuwa Rais ameingia chaka.Mama Samia hapo umeingizwa chaka. Inawezekana ukaja kushtuka baadae sana. Pole
hata kama ni mnufaika wa mfumo ,eGA ni chombo ambacho kilikua kimebaba ndoto kubwa sana za usalama wa kitehama nchini ,wapigaji wangeweza kupiga pesa bila kuua eGA , kuua eGA ni hatari sanaWewe wetangula ni mnufaika wa mfumo au ni mfanyakazi wa eGA. Ni kitu gani kinakuaminisha kuwa Rais ameingia chaka.
Hivi haya makitu yote kuwa ofisi ya Rais yanaleta tija gani? Treasury Registrar, ATCL, eGA etc