Amin na kweli inawezekana.
Kwa sababu kila kitu Mungu anakiona na yeye ndiye mwenye nguvu kuliko wababe wote wa dunia.
Angalia viongozi wa juu wa Hamas inasadikiwa wapo Gaza na bado Israel kashindwa kuwakamata,Unadhani ni ujanja wa Hamas peke yao.
Hapo majuzi taifa la Spain liliizuia meli iitwayo Marianne Danica kutia nanga kwenye moja ya bandari zake kwa vile ilikuwa imebeba tani 26.8 ya silaha za miripuko kupeleka Israel.
Meli hiyo ilikuwa ikitokea India na iliomba kutia nanga kwenye bandari ya Cartagena mnamo Mei 26.
Waziri wa mambo ya...
Vijana wadogo 5
Eti waliona mtutu wa bunduki ukichomoza kutoka kwenye jengo.Wakavurumisha mzinga wakawaua.
Huo ni woga na kuchanganyikiwa kwa jeshi la Israel.
Pia inaondosha dhana kuwa Israel wana teknolojia za ajabu ajabu kwenye vita.Kumbe hata wenyewe kwa wenyewe hawajuwani walipo.
Wacha...
Huyo Hamas anapigana kwa kasi hiyo huku hana silaha za kutosha na amekatiwa chakula.
Kama hao vijana wangepata msaada mdogo sana basi Israel wangeshakimbizana .Hata hivyo IDF wanaisha nao.
hujajibu suali au hujaona mantiki iliyotolewa mfano.Kwamba tatizo ni kile kinachotoleshwa kodi sio sahihi.Wanaangalia mauzo badala ya faida.
Kwa mfumo huo hatuwezi kufika tunakotaka.
hujajibu suali au hujaona mantiki iliyotolewa mfano.Kwamba tatizo ni kile kinachotoleshwa kodi sio sahihi.Wanaangalia mauzo badala ya faida.
Kwa mfumo huo hatuwezi kufika tunakotaka.
Kwa ukaidi wa hali ya juu jeshi la Israel limesema litaingia Rafah ili kuwamaliza Hamas.Hata hivyo vijana wa Hamas wameonekana kujikushanya maeneo mengine mengi ya Gaza wakitoa upinzani mkali kwa jeshi hilo.
Miongoni mwa maeneo yaliyolazimisha Israel kupeleka vikosi vyenye zana nzito ni pamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.