Hamas watekeleza ahadi yao kuwa uvamizi wa Rafah hautakuwa kama piknik kwa jeshi la Israel

Bado mnawajaza hamas upepo ! Mnataka uzao wa palestinians uishe? Wapalestina kufa hamas atapata faida gani? Iran, Turkey , Egypt kama wana uwezo wapeleke jeshi pale Gaza.
Nanukuu: "Wapalestina kufa hamas atapata faida gani?"
HAMAS ni kundi la kigaidi. Na kama iliivyo kwa magaidi wote ; kutembeza ubabe ndo jadi yao.
Kwa mantiki hiyo, hoja yako iliyonukuliwa hapo juu inajibika kwamba; Faida iliyopo ni kwamba HAMAS Itaheshimika zaidi na kutambulika zaidi kuwa ni Mbabe miongoni mwa Wababe wa Dunia.
Kwamba eti Iran, Turkey , Egypt kama wana uwezo wapeleke jeshi pale Gaza.
Wangeliwekufanya hivyo kama wangelishirikishwa walau kutoa Ushauri katika kufanya maamuzi ya kitendo cha kizembe na cha kijinga cha 07 Okt.2023.
 
Bado mnawajaza hamas upepo ! Mnataka uzao wa palestinians uishe? Wapalestina kufa hamas atapata faida gani? Iran, Turkey , Egypt kama wana uwezo wapeleke jeshi pale Gaza.
Ngoja utaona matokeo
 
Sasa kama Israel wanaua watoto si ndio kushindwa kwenyewe huko.
Mkuu; anayeshindwa ni yule (HAMAS)anayewaweka/anayewatanguliza mbele yake akina mama waliobeba watoto huku akijua wazi kwamba risasi haichagui.
 
hii vita si ya kushangiliA
BASI TU baadhi ya watu wa dini sana mna roho mbaya kinoma. hiyo siyo misimamo ya dini
unashangilia binadamu mwenzio akiteseka,kisa yupo upande mwingine
 
Israel alituambia week tatu tu itamaliza Gaza 😄 Hamasi ni wanaume aisay km 35 Gaza yote na Israel, US, Europe, India, Korea na wanafiki wa kiarabu wameshindwa kuwatoa Hamas hapo Gaza.

Israel alituambia week tatu tu itamaliza Gaza 😄

Hamasi ni wanaume aisay km 35 Gaza yote na Israel, US, Europe, India, Korea na wanafiki wa kiarabu wameshindwa kuwatoa Hamas hapo Gaza.
Wakiuwawa watoto mna lialia,wakati Hamas hawana kambi za kijeshi wanaishi na wake zao majumbani.
 
Mbinu za hali ya juu zinazotumiwa na wapiganaji wa Hamas kupambana na askari wa Israel wanaoelekea kuivamia Rafah,zimeelezwa na wachambuzi wa kuvita kuwa wapiganji hao bado wamejipanga kuendelea na mapigano na hawajakata tamaa ya kupata ushindi japo wamezingirwa na wanapambana na jeshi lenye silaha za kisasa. Mapema leo wapiganaji hao wamefanikiwa kuwazuia askari wa Israel kusonga mbele baada ya kuwarushia makombora aina ya thermobaric pamoja na silaha nyengine. Mapigano mengine makali yanaendelea kaskazini ya Gaza kwenye eneo la Zeitoun ambako tangu vita vianze Israel imeshindwa kuingia. Shambulio jengine la kushangaza limefanywa na Hamas leo kwa kurusha makombora kwenye mji wa Bersheva ulio kusini mwa Israel ambapo Israel imesema mtu mmoja tu ndio amejeruhiwa katka shambulio hilo.
 
Back
Top Bottom