tripleec
Senior Member
- Oct 19, 2022
- 145
- 130
labda swali kidogo la kujiuliza maana nimeona kijarida humu mtu ( smart mind) katupia la viwango vya kodi. Kama unauza sana maana yake na kodi yako silazima iwe juu mkuu? au ulitaka uwe sawa na mama zentu ntilie? Kila mtu hataki lipa kodi nani alipe wafanyakazi peke yetu? Mashine sijaona ubaya kama natozwa kulingana na mauzo yangu maana ingekuwa nazidishiwa zaidi ya nilichoingiza hapo sawaMimi kwangu kutoa risiti kumefanya nikadiriwe kodi kubwa lait kama mauzo yangu kwenye mashine yangekuwa chini na kodi ingekuwa chini vilevile