Utangulizi:
Kuendesha gari ukiwa mlevi bado ni suala lenye changamoto duniani kote, na kusababisha ajali nyingi, majeraha, na vifo kila mwaka. Nchini Tanzania, kama ilivyo kwa mataifa mengine, ajali za barabarani zinazohusisha madereva walevi ni tishio kubwa kwa usalama wa raia.
Ili...
Kutumia nambari za utambulisho zilizopo za raia wa Tanzania au vitambulisho vya uraia kupiga kura kwenye mtandao kunaweza kuwa chaguo zuri la kurahisisha mchakato wa upigaji kura na kupunguza gharama zinazohusiana na chaguzi za jadi, zisizo za mfumo.
Kwa kutumia teknolojia ya upigaji kura...
Utangulizi
Migogoro ya ardhi imekuwa ni changamoto ya muda mrefu sana nchini Tanzania ikihusisha umiliki wa ardhi, mipaka na haki ya matumizi ya ardhi. Migogoro hii mara nyingi hutokea kutokana na ukosefu wa mifumo isiyoeleweka ya umiliki wa ardhi, michakato isiyokidhi ya usajili wa ardhi pamoja...
Utangulizi:
Katika ulimwengu uliounganishwa, mawasiliano bora ni muhimu kwa ajili ya kukuza mahusiano ya kimataifa na kukuza fursa za maendeleo ya kiuchumi, kijamii, kielimu, afya, teknolojia, sayansi na michezo. Tanzania, kama mataifa mengine mengi, inatambua umuhimu wa kutumia majukwaa...
UTANGULIZI
Urithi wa Jeshi la Polisi wa kikoloni umekuwa na athari kubwa katika utendaji na muundo wa jeshi la polisi la Tanzania. Wakoloni walianzisha mtindo wa polisi ambao uliundwa kwa misingi ya kudumisha udhibiti na kukandamiza upinzani dhidi ya ukoloni ili kutekeleza sheria za kikoloni...
JINSI APPLICATION YA SIMU INAVYOWEZA KUTATUA TATIZO LA AJIRA - CAREER APPLICATION
Utangulizi
Upatikanaji wa ajira umekuwa ni changamoto kubwa kwa mataifa mengi duniani ikiwemo Tanzania. Hii ni kutokana na ongezeko kubwa la watu hususani vijana ambao huhitimu masomo yao huku nafasi za ajira...
MATUMIZI YA MITA KWENYE MITUNGI YA GESI
Utangulizi
Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye hifadhi kubwa ya gesi asilia. Ripoti mbalimbali zinaonyesha kwamba Tanzania inakadiriwa kuwa na gesi asilia yenye ujazo wa mita trilioni 230, ingawa imethibitishwa hadi sasa ni futi trilioni 57.54. Kutokana...
TAA YA UMEME INAVYOWEZA KUZUIA MALARIA KWA KUNASA NA KUUA MBU
Utangulizi
Malaria ni miongoni mwa magonjwa ambayo yamekuwa tatizo kubwa na umekuwa ukiuua watu miaka hadi miaka. Malaria husababishwa na mbu jike ajulikanaye kama Anofelesi. Katika nchi zinazoendelea malaria ni ugonjwa unaosababisha...
Baada ya kuhitimu chuo kwa ngazi ya shahada nilipata sehemu ya kujishikiza kufundisha chuo ambacho kimsingi hakikuwa na kipato kikubwa sana kwa hivyo nilikuwa kama najitolea kwa muda wa miaka mitano.
Lakini badae tulianzisha programu ya kuwanufaisha wakufunzi kupitia kuleta wanafunzi kwa maana...
Diamond Platnumz alizaliwa katika hospitali ya Amana iliyopo jijini Dar es Saalam tarehe 02 Oktoba 1989. Jina halisi alilopewa na wazazi wake ni Naseeb Abdul Juma. Akiwa na umri mdogo wazazi wake walitengana na alibaki akilelewa na mama yake mzazi aitwaye Sanura Kassim maarufu kama “Sandra”...
Tanzania ni miongoni mwa nchi duniani ambayo imekuwa na changamoto ya vijana kukosa ajira mara baada ya kuhitimu masomo. Kumekuwa na mitazamo mingi juu ya tatizo hili ambapo wengine wamefikia hatua ya kusema ni bomu linalojiandaa kulipuka.
Kwa vyovyote vile kuna haja ya kulipa kipaumbele suala...
Tanzania ni miongoni mwa nchi duniani ambayo imekuwa na changamoto ya vijana kukosa ajira mara baada ya kuhitimu masomo. Kumekuwa na mitazamo mingi juu ya tatizo hili ambapo wengine wamefikia hatua ya kusema ni bomu linalojiandaa kulipuka.
Kwa vyovyote vile kuna haja ya kulipa kipaumbele suala...
UTANGULIZI
Migogoro ya wakulima na wafugaji imekuwa kikwazo kikubwa cha maendeleo vijijini na mahusiano baina ya wakulima na wafugaji katika nchi nyingi zilizo katika ukanda wa kusini mwa jangwa la Sahara. Pamoja na kuwa na juhudi za maksudi za kutatua migogoro hii bado kumekuwa na kukosekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.