Search results

  1. Labani og

    Record: Yanga yawa timu ya kwanza kufikisha kombe mlima Kilimanjaro

    Kombe la kwanza kufikishwa kwenye kilele Cha mlima mrefu zaidi Africa mlima Kilimanjaro na mabingwa wa kihistoria ..,..mabingwa wa mara 30 Young Africans Cc:Privaldinho NB: wengine walipeleka kibegi..... wengine wamepeleka kombe[emoji23][emoji91][emoji91]
  2. Labani og

    Che Malone: Tatizo la Simba ni timu kwa ujumla sio mtu mmoja

    “Tatizo ni timu kwa ujumla na sio mtu mmoja mmoja, tatizo ni timu nzima na kama timu haijatulia mfano hata kwenye eneo la Utawala maana yake itaathiri timu nzima" "Sijui tatizo limetokea wapi hasa ila sio kitu kizuri na timu imeathirika, kila kitu ni maandalizi na namna unaiongoza klabu naamini...
  3. Labani og

    Diara ashinda tuzo ya mchezaji Bora wa Mali kwa Africa

    Mlinda mlango wa klabu ya Yanga SC Djigui Diara ametwaa tuzo ya mchezaj bora wa Afrika kwa msimu wa 2023\2024, katika tuzo zilizotolewa nchini Mali. Tuzo hizo maalum zilizotolewa nchini Mali ni kwa wachezaji wa nchini humo wanaocheza ndani ya Bara la Afrika Diara amechukua tuzo hiyo akiwashinda...
  4. Labani og

    Nigeria: Mchezaji anayelipwa zaidi ligi ni Tsh. 2.5 million

    Mshambuliaji wa Remo Stars Alimi Sikiru ndio mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wote kwenye ligi ya Nigeria akiwa analipwa Naira Milioni 1.3 (sawa na Dola za Marekani 1000$ au 2.5m Tshs) kwa mwezi. Hivi karibuni mchezaji huyo amelalamika kuwa toka zivuje taarifa za yeye kuwa mtu...
  5. Labani og

    Shabiki maarufu wa arsenal Ulaya apost vide za pared la Yanga

    #MICHEZO Unaambiwa baada ya video za Paredi la Ubingwa wa Yanga kusambaa duniani kote hivi karibuni zimezua gumzo huko nchini uingereza, ambapo hii ni mara baada ya Shabiki Maarufu wa Klabu ya Arsenal (#Welbeast) kuchapisha moja ya video hizo kwenye ukurasa wake wa X (maarufu kama Twitter)...
  6. Labani og

    Ni lengo Moja tu Simba limefanikiwa msimu huu

    MALENGO YA SIMBA 2023/24 PLAN A[emoji116] [emoji735] KUFIKA NUSU FAINAL CAFCL [emoji735] UBINGWA FA [emoji735] UBINGWA NBC PLAN B [emoji735] FEI TOTO kutwaa ufungaji bora [emoji735] Simba kushiriki Klabu Bingwa [emoji736] Ray Matampy kuwa na Clean Sheet nyingi [emoji2957] [emoji51]
  7. Labani og

    Kihasibu: Simba kushiriki loosers cup 2025

    BREAKING NEWS: Simba SC watashiriki Kombe la Shirikisho Msimu ujao baada ya kushika nafasi ya tatu kwenye Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Azam FC na Yanga SC watashiriki Klabu Bingwa Barani Afrika Makolo.....Tawire[emoji23][emoji23][emoji3063][emoji3063] Je, Benchika mlipigwa au Robertinho...
  8. Labani og

    Paredi la Yanga lazua gumzo Uingereza

    Paredi la Yanga halijaistua tu Africa Bali dunia yote imetikisika mitandaoni kote ....ni Yanga tu Vituo vikubwa vya habari vyaliongelea hili tukio la wananchi Hizi ni baadhi Comments za waingereza Baada ya kushtuka nyomi la Yanga kuwazidi Manchester city Makolo najua ngeli inawapiga chenga
  9. Labani og

    Kimeumana baina ya Simba na Inonga

    INONGA: MKATABA WANGU UNAISHA 2024 NA SIO 2025 KAMA INAVYODAIWA "Mimi siujui huo mkataba wanaousema wao mimi navyofahamu ni kwamba Mkataba wangu unamalizika msimu huu na hivyo ndivyo ilivyo, hili jambo lipo kwa Wanasheria wangu kwa sasa nipo Ufaransa kwa Mapumziko." - Henock Inonga Bakah...
  10. Labani og

    Motsepe akili goli la Azizi Ki lilikuwa halali kabisa

    PATRICK MOTSEPE: LILE LILIKUWA GOLI HALALI KABISA Rais wa CAF, Patrice Motsepe alipowasili kwenye uwanja wa ndege visiwani Zanzibar kwa ajili ya fainali ya michuano ya Africa Schools Championship.Motsepe aligusia kidogo lile shuti la Aziz Ki pale Loftus dhidi ya Mamelodi Sundowns...
  11. Labani og

    Ali Kamwe: Simba tumewajaza Kwa kibu, wamejaa

    ALLY KAMWE: TUMEWAJAZA WAMEJAA "Tunaemtaka Pale yupo Tumewajaza Kwa Rasta Wamekurupuka Wamempa Mkataba Na Pesa Nyingi, Hatuwezi Kumsajili Mshambuliaji Kwa Msimu Ana Bao Moja tu Pekee." -Ally Kamwe
  12. Labani og

    Ali Kamwe: Kombe litapelekwa Arusha ili Simba walione

    ALLY KAMWE: KAMA WALIFIKILI KOMBE WAMELIKIMBIA, NAWAMBIA LITAWAKUTA HUKO HUKO WALIPOKIMBILIA. Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc Ali Kamwe ameweka wazi kuwa malengo yao kwenye mchezo huo sio alama tatu ila lengo ni kufunga magoli mengi ili Aziz Ki afunge magoli ya kutosha kwa lengo la...
  13. Labani og

    Yanga kutumia helicopter kwenye parade la ubingwa wa 30

    “Helikopta ya parade la ubingwa itaanza safari yake majira ya saa nne asubuhi ikiwa imebeba kombe, itapita maeneo mbalimbali jiji la Dar Es Salaam. Tumempa Rubani maelekezo kuna maeneo akifika pale Kariakoo, aishushe chini kidogo ili kila mtu ashuhudie parade la angani. Baadae mchana Helikopta...
  14. Labani og

    Tetesi: Dejan ashinda Kesi, Simba kumlipa 500 million

    Mchezaji aliyewahi kuichezea Simba kwa siku 54 Dejan Georgijević ameshinda kesi ya madai dhidi ya Simba na anatakiwa kulipwa milion 500 za Kitanzania kwa kukiukwa mkataba wake wakati anachezea Simba, FIFA imeipa Simba siku 45 kuhakikisha inalipa fedha hizo. NB: Mlete mzungu...
  15. Labani og

    Pichani: alikamwe akitoa mafunzo Kwa uongozi wa Pamba Jiji waliofika jangwani kujifunza

    Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga SC, Ally Kamwe akitoa semina kwa Viongozi wa Klabu ya Pamba Jiji kutoka Mwanza, jinsi mfumo wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu ya Yanga inavyofanya kazi. Vongozi wa Pamba Jiji iliyopanda kushiriki Ligi Kuu ya NBC, umefika Makao Makuu ya...
  16. Labani og

    Je, Simba walikuwa wapi hadi Yanga anafikisha makombe 30?

    Wakuu Leo nimelia sana Baada ya kufuatilia record za timu zenye makombe mengi ya Ligue na kuja kugundu kuwa Simba Wana makombe = 22........lkn wababe Yanga Wana makombe = 30 ......na ligi ilianza mwaka 1964 Nmeshtuka sana Hadi ghafla nmeanza kulia [emoji24][emoji24][emoji24].......Je makolo...
  17. Labani og

    Ali Kamwe: Nileteni yule comedian wa Simba aje apate semina ya habari

    Nikiwapa semina kwenye idara ya habari, nileteeni yule comedian wa makolo (Ahmed Ally) naye apokee somo, mlete hata kwa viboko.
  18. Labani og

    Ali Kamwe: Simba tutawafuata na bakora waje kujifunza Kwa yanga

    Rais wa klabu ya @yangasc Injinia @caamil_88 ametoa elimu kwa uongozi wa klabu ya @tpmazembeofficiel ambao wamefika makao makuu ya klabu hiyo hapo jana wakitaka kufahamu ni namna gani klabu ya Yanga imeweza kubadirisha mfumo wake wa kiundeshaji na kuweza kutawala soka la ndani na nje kwa muda...
  19. Labani og

    Ali Kamwe: Tutabeba makombe, Kila mwanachama awe na lake

    “Klabu kubwa kama TP Mazembe imesafiri kutoka DR Congo kuja hapa Jangwani kujifunza kwa kichwa chetu, Rais wetu Eng. Hersi Said halafu kuna watu wako nyumba ya 16 tu jirani hapo, wanapiga kelele kuwa hawana cha kujifunza kwa Yanga. “Niwaambie tu, tutabeba Makombe hadi kila Mwanachama atakuwa...
  20. Labani og

    TP Mazembe waomba kufundishwa football management na Yanga

    “Tumepokea ugeni mzito kutoka moja ya Klabu kubwa Barani Afrika, TP Mazembe ya DR Congo ambao wamevutiwa na namna Klabu yetu ya Yanga inavyoendeshwa hivyo wamekuja hapa Tanzania kujifunza mambo mbalimbali kwenye Mfumo wetu wa Mabadiliko ya Uendeshaji" Simon Patrick, Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga...
Back
Top Bottom