fainali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Gamond "Young Africans na Azam FC wamekuwa na michezo bora msimu huu"

    Young Africans na Azam FC wamekuwa na michezo bora msimu huu, najua kesho kutakuwa na upinzani mkubwa na sisi tumejiandaa na hilo Mchezo huo wa Fainali utapigwa katika uwanjwa wa New Amaan Complex Zanzibar saa mbili na dakika 15 usiku Nani kusepa na kombe hilo?
  2. JanguKamaJangu

    Man United itamfukuza Ten Hag baada ya Fainali ya FA Cup

    Tetesi kutoka katia vyanzo vya ndani ya Klabu ya Manchester United zimedai kuwa Kocha Erik ten Hag anatarajiwa kufukuzwa kazi mara baada ya mchezo dhidi ya Manchester City katik Fainali ya Kombe la FA, kesho Mei 25, 2024. Taarifa kutoka Gazeti la The Guardian zinaeleza kuwa mmoja wa wamiliki wa...
  3. Labani og

    Motsepe akili goli la Azizi Ki lilikuwa halali kabisa

    PATRICK MOTSEPE: LILE LILIKUWA GOLI HALALI KABISA Rais wa CAF, Patrice Motsepe alipowasili kwenye uwanja wa ndege visiwani Zanzibar kwa ajili ya fainali ya michuano ya Africa Schools Championship.Motsepe aligusia kidogo lile shuti la Aziz Ki pale Loftus dhidi ya Mamelodi Sundowns...
  4. Suley2019

    Pauline Gekul: Fainali CRDB Confideration Cup kuhamishwa imetusikitisha

    Mbunge wa Jimbo la Babati Mjini Pauline Philipo Gekul akichangia makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Utamaduni ,Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2024/25 ameiomba Wizara hiyo kupeleka mechi kubwa Mkoani Manyara baada ya kuiondoa mechi ya Fainali ya Shirikisho kati ya Yanga na Azam FC...
  5. Mkalukungone mwamba

    fainali ya CRDBBankFederationCup kati Yanga vs Azam sasa itapigwa katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kwamba fainali ya #CRDBBankFederationCup sasa itapigwa katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Babati mkoani Manyara kama ilivyotangazwa awali. Mechi hiyo inayozikutanisha Azam FC dhidi ya Yanga SC, itachezwa Juni 2, 2024 saa...
  6. Erythrocyte

    Napinga fainali ya FA kufanyika Zanzibar, Kisoka Zanzibar ni Nchi nyingine wala haina timu kwenye michuano hiyo

    Kuipeleka fainali ya FA Zanzibar ni sawa na kuipeleka fainali hiyo Kenya, Somalia ama Uganda, hakuna timu yoyote kwenye Nchi ya Zanzibar inayosimamiwa na TFF kama zilivyo Nchi nilizozitaja Wala hakuna sababu yoyote ile iwe ya kijinga au ya maana ya kupeleka fainali hiyo Zanzibar Sisi wapenda...
  7. Uzalendo wa Kitanzania

    Breaking TFF yasema fainali Kombe FA kupigwa New aman complex Zanzibar badala ya manyara

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa njema huyo hapoo chini! Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limetangaza kuwa limebadili matumizi ya uwanja utakaochezewa fainali ya (FA) kutoka Manyara hadi New Amani complex Zanzibar. Sababu za kiusalama na utayari mdogo wa miundombinu Babati Manyara zimetajwa...
  8. Vincenzo Jr

    Kwanini TFF mnaipeleka fainali Zanzibar?

    Acheni siasa mnaharibu soka letu mechi ya bara mnapeleka visiwani ili mgundue nini? TFF mnaipeleka Fainali Zanzibar, sehemu ya nje ya utawala wa FA husika? Lini mmewahi kuona FA ya Uingereza imepeleka fainali Ireland, au Scotland? Lini mmewahi kuona FA ya Ujerumani imepeleka fainali zao...
  9. Mkalukungone mwamba

    Mtazamo wako ni upi atakaye cheza Fainali ya CRDB Bank Federation msimu huu 2023/2024

    Mtazamo wako ni upi atakaye cheza Fainali ya CRDB Bank Federation msimu huu 2023/2024 Leo Azam fc vs Coastal Union Kesho Yanga Vs Ihefu
  10. JanguKamaJangu

    Kocha pekee aliyefika Fainali 6 za UEFA Champions League

    Carlo Ancelotti raia wa Italia ana rekodi kubwa ya kuwa kocha aliyefika Fainali 5 na kubeba mataji manne ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League), mara 2 akiwa AC Milan na mara 2 akiwa Real Madrid Msimu huu 2023/24 amefika Fainali akiwa na Real Madrid ambapo anatarajiwa kucheza dhidi...
  11. DeepPond

    Bei za Viingilio Real Madrid vs Bayern UEFA Nusu Fainali

    1st leg, ALIANZ ARENA STADIUM Mzunguko €19= Tsh 52,744 VIP € 160= Tsh 416,400 2nd leg, ESTADIO SANTIAGO BERNABEU Mzunguko € 125 = Tsh 347,000 V.I.P € 445 = Tsh 1,235,320
  12. JanguKamaJangu

    Huyu Mchezaji ni nani? Alifunga goli hili katika Fainali dhidi ya Barcelona

    Ramani hii inaonesha jinsi Mchezaji wa Real Madrid alivyofunga goli la ushindi katika Fainali ya Copa del Rey 2014 dhidi ya Barcelona, mechi hiyo inayofahamika kwa jina la El Clásico ilimalizika kwa Madria kushinda magoli 2-1. Umemtambua mchezaji husika ambaye mikimbio yake alikimbia akatoka...
  13. K

    TP Mazembe Yakalishwa 3 - 0 , Al ahly Yatinga Fainali

    TP Mazembe wakiwa Ugenini wamejikuta wakipokea Kipigo Cha Magoli matatu Kwa bila dhidi ya Al ahly na kutolewa hatua ya nusu Fainali Ya michuano ya klabu Bingwa barani Afrika. Katika mchezo Wa mkondo Wa Kwanza Timu hizo zilitoshana nguvu Kwa Kutoka Suluhu na hivyo kudhihirika kuwa Al ahly ndio...
  14. K

    Azam yaifuata simba fainali muungano

    USHINDI wa mabao 5-2 ilioupata Azam FC dhidi ya KMKM, umeifanya timu hiyo kufuzu fainali ya Kombe la Muungano, michuano inayofanyika kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Azam imepata ushindi huo kupitia mabao ya Abdul Sopu dakika ya 7 na 42, huku wafungaji wengine wakiwa ni Nathaniel...
  15. JanguKamaJangu

    Man United yaingia Fainali ya FA kwa matuta 4-2

    Licha ya Manchester United kuongoza kwa magoli 3-0 hadi dakika ya 70 dhidi ya Timu ya Coventry City inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza (Championship) lakini hadi dakika ya 90 zinakamilika matokeo yalikuwa sare ya magoli 3-3. Baada ya kuongeza dakika 30 za nyongeza katika Nusu Fainali hiyo ya...
  16. Revolution

    Nitawahadithia watoto wangu na wajukuu kuwa Yanga ilifika hatua ya nusu fainali baada ya kuitoa Mamelod Sundowns lakini ikafanyiwa hila

    Hivi ndivyo ninavyojua na ndivyo itakavyobaki katika Halmashauri ya Kichwa changu. Kwamba Young Africans mwaka 2023-2024 walishiriki CAF CC na kufika hatua ya nusu fainali kwa kuifunga timu ya Mamelod Sundowns Goli 1 -0. Timu hiyo ilinyimwa ushindi huo kwa maksudi ya VAR officials kwa...
  17. Teko Modise

    FT: UCL Mechi za Robo Fainali | Arsenal 2-2 Bayern Munich, Real Madrid 3-3 Man City | 09/04/2024

    Muda mchache ujao kutapigwa mechi za robo fainali katika Uefa Champions League. Arsenal Vs Bayern Munich Real Madrid Vs Man City Karata yako unatupia kwa nani?
  18. PAZIA 3

    Kwanini mpaka sasa ratiba ya nusu fainali ya CAFCL haijatoka?

    Nyota njema huonekana asubuhi. Mpaka Sasa Caf hawajapanga tarehe ya nusu fainali ya club bingwa Africa. Hii inaashilia barua ya Yanga inafanyiwa kazi. Mungu si Athuman, lolote laweza kutokea.
  19. Allen Kilewella

    Kwa ivo sasa tunaweza kuanza kulinganisha nani kafika mara nyingi robo fainali?

    Waliokuwa wanadharau kufika robo fainali wamefika robo fainali kwa bahati na wametolewa KIUTU UZIMA wanabaki kulalamika. Sasa ni wakati wa kulinganisha ni timu gani imefika mara nyingi robo fainali za mashindano yote ya CAF. Asitokee mtu akasema kufika robo fainali ni hatua ndogo.
  20. J

    Nimezidi kuumia baada ya kuona Mamelodi amepangwa na Esperance nusu fainali. Yanga ilikuwa inaenda fainali, hata kushinda kombe

    Nimeona draw ya nusu fainali ya CAFCL nimezidi kuumia. Mamelodi ambaye ndio kapewa nafasi yetu amepangwa na timu dhaifu ya Esperance. Kwa tuliyoitazama Esperance ilivyokuwa hatua ya makundi na robo fainali, huu ni mteremko kwa Mamelodi. Mamelodi anaenda kushinda nje ndani na kutinga fainali...
Back
Top Bottom