Search results

  1. nzalendo

    Angalau tuna lami

    Pamoja na mapungufu mengi...angalau kwa kwa sasa tuna lami. Nakumbuka nilisafiri Dar - Mwanza kwa mwezi mmoja na wiki mbili, nikifika Dodoma inn nabadilisha nguo navaa kaptula ya kazi na kaawoshi. Safari inaendelea, kianza kutoka mjini unaona kibao cha Pepsi kileee hapo jiandae kuanza kupiga...
  2. nzalendo

    Nina miaka 15 ndani ya JamiiForums

    Mabibi na mabwana nina mshukuru huyu atupaye pumzi na riziki. Huu ni mwaka wa kumi na tano ndani ya jamii forum......(si mchezo).. Mengi nimejifunza namshukuruni sana sana. Na wale tunaopishana kimtazamo au mawazo hapan'shaka twasameheana manake kiukweli binadamu tuna mapungufu na mie njia ya...
  3. nzalendo

    Hivi humu JamiiForums hatuwezi kuanzisha vikobesha

    Yaani VICOBA ili kujikwamua katika hili na lile...ni wazo tu waungwana....au ninyi mwafikirije?
  4. nzalendo

    Swali kwa TRA na NEMC

    Naomba kufahamishwa kodi ya basi jipya la umeme toka China la thamani ya dola za kimarekani 6000 nitalipa sh ngapi.. Na ninyi watu wa mazingira je?mwaweza kunipa kibali cha unafuu niletapo basi hili?...nikiwa na maana kwamba halichafui mazingira....
  5. nzalendo

    Vijana chukueni mchongo wa soya

    Nawashauri vijana WANYAKE MASOKO MAWILI TU MAKUUUBWA SANA NA YOTE YATAMEZA VIJANA WOOTE WAKIACHA UVIVU. 1. CHINA WAMETUPA SOKO LA SOYA BEANS la ukubwa wa tani 400,000 kila mwaka Tanzania kwa sasa as we speak inazalisha tani 15,000 tu za soya. Ina maana kunatakiwa tani 400,000 za soya...
  6. nzalendo

    Hivi Msumi ipo Dar es Salaam kweli?

    Msumi ni Kilometer chache sana kutoka stendi ya mabasi ya Magufuli. Sasa cha ajabu ni kwamba Msumi ipo kama vile hata wakuu wa Mikoa waliopita hapo Dar na wasasa si ajabu hawajui iko upande gani wa mji, achilia mbali DC. Mbunge wa Ubungo (labda atapeleka pua) kwa ajili ya kampeni, Sina hakika...
  7. nzalendo

    Msaada, namna gani ya kuagiza machine toka China?

    Kuna ndugu anauliza ni namna gani anaweza tuma mtu au kuagiza machine ya kufyatua na kufungasha pipi toka uchina. Kwa niaba namtangulizia shukrani za dhati. AMINA Isiwe domestic na Isiwe heavy sana yaani ya kiushkaji au kimtindo mtindue mtindoe
  8. nzalendo

    Wasomi tusaidieni kuunganisha mashirika ya ndege Afrika

    Wataalamu wasomi na wanamajumui kwa kuweka ubinafsi kando na uafrika mbele, hili jambo kama si leo ni siku zijazo laweza leta mapinduzi chanya katika kujikwamua na kuamsha shughuli nyingi za kiuchumi kijamii kiafya n.k. Hebu wasomi tusaidieni tufanyaje? Zingatia kama sio fitna leo East Africa...
  9. nzalendo

    Adha ya Mwendokasi: Je, Daladala zirudi kuokoa na kusaidia wananchi?

    Kutokana na kuhatarisha maisha ya abiria, watu kujeruhiwa na kupoteza maisha, kupoteza muda na kuchelewa, pamoja na maumivu ya kisaikolojia; Je, tupo tayari daladala zirudi? PIGA KURA YAKO KULETA MABADILIKO.
  10. nzalendo

    Siku Africa tukiungana tutauaga umasikini

    Baada ya kuzunguka ulimwenguni nimegundua siri moja kubwa sana kutoka sehemu nyeti sana. Siku Africa tutakapoungana UMASIKINI utakuwa bye bye....hata 🇺🇸 hawatatupata labda 🇨🇳
  11. nzalendo

    MSAADA: Utoaji

    Naomba kufahamishwa Maana ya,:-1. Sadaka 2. Dhabihu 3. Zaka 4.Shukran 5.Msaada 6.Takrima 7.Asante 8.Hongo 9.Nyongeza 10.FUNGU LA KUMI
  12. nzalendo

    Vituko vya matajiri Moshi na Arusha miaka hiyo

    Namkumbuka Mzee Maeda...alikuwa na majumba na mabasi ya Kilimanjaro Bus Service (1967) Ltd. Yeye na mkewe walikuwa ni wachapa kazi balaa...mzee yuko stand anabeba mizigo kama kuli na kuipandisha juu ya carrier. Kuna siku basi imepakia abiria dereva kaingia kwenye basi kalewa,mama akamshusha...
  13. nzalendo

    Wanaume tuko wapi?

    Kuna kila viashiria kwamba nafasi yetu ya UANAUME imepokwa...hasa na mifumo ya sasa ya Dunia. Kina mama waliotengenezwa na Beijing 1995 wameleta balaa. Wanaume najua mnanielewa, mauti imepanda kuuwa uzao wa kiume. Wanaume hatuna sehemu ya kutolea sumu.
  14. nzalendo

    Kuepuka prostate cancer

    Inatakiwa kwa mwanaume kushiriki tendo mara 21 kwa mwezi..itakuweka salama na kuepukana na dhahma hii.
  15. nzalendo

    Maswali rahisi ulimwenguni

    Je, Umegundua duniani kuna vitu mbili mbili? Giza - Nuru Moto - Baridi Chungu - Tamu Nyeusi - Nyeupe Ndefu - Fupi Nene - Nyembamba Nukia - Nuka Usiku - Mchana Jua - Mwezi Tamu - Chungu Mwanamume - Mwanamke Udongo - Maji Kivuli.......? Nyota.......?
  16. nzalendo

    Nauli ya basi Dar mpaka Lubumbashi

    Ahlan wasalaan, Naomba kumuulizeni ni kiasi gani cha nauli kwa fedha ya kiTanzania. Natanguliza shukran. Najaribu kuweka basi katika kutafuta riziki. Na pia kama kuna changamoto zozote katika njia naomba unijuze. Shukran tena 👍
  17. nzalendo

    Nilipo okoka

    Nikaanza kukumbuka dhambi nilizowahi kufanya na kutubu. Cha ajabu nimekuwa na uwezo wa kukumbuka moja baada ya nyingine. Lakini iliyonishangaza zaidi ni hii ya UZINZI...aisee kumbe nimetembea na wanawake wengi sana. Wengi sana siwakumbuki majina lakini nawakumbuka sura,tukio na mahala...
  18. nzalendo

    Baada ya kuwa mlokole

    Nikaanza kukumbuka dhambi nilizowahi kufanya na kutubu. Cha ajabu nimekuwa na uwezo wa kukumbuka moja baada ya nyingine. Lakini iliyonishangaza zaidi ni hii ya UZINZI...aisee kumbe nimetembea na wanawake wengi sana. Wengi sana siwakumbuki majina lakini nawakumbuka sura,tukio na mahala...
  19. nzalendo

    Laana ya viapo inavyowatafuna

    Mtu mzima na akili zake anakamata kitabu cha dini ya imani yake na kuapa halafu anavunja kiapo chake kwa kumdhihaki Mungu na kudhani maneno aliyoyatamka ni masihara. Matokeo yake ni mateso, majuto, uchungu na laana. Kwa mfano..wengi kama si wote. Wanasumbuliwa na mashinikizo ya damu, kisukari...
  20. nzalendo

    Huyu ni mtu au robot?

    Raraa reree Hujamaliza ku comments ameshalike iwe usiku iwe mchana halafu iko kama hana changamoto za umeme
Back
Top Bottom