Mali ulizozipata kwenye ndoa ni zako na mke huyo wa ndoa na hao watoto. Hayo mambo mengine nje jitahidi uyamalize nje ya ndoa hukohuko kabla hujafa.
Ndio maana Ibrahim ilibidi amfukuze mtoto wa nje ya ndoa na mama yake ili wakabarikiwe wakiwa kwingine sio hapo. Na Mungu akasikia na kumbariki...
Kwa sababu kuna mambo mengi ambayo kwetu hayawezekani ila akihusishwa Mungu yanawezekana.
Hii inatanua wigo wa kiakili kupokea na kufanikiwa hata kwa yale ambayo hata akili zetu haziyaamini.
Mfano mtu mmoja alikuwa hatua ya kufa, hadi watumishi wakaja kumpaka mafuta na kumuombea afe kwa...
Kama unaamini Mungu ni wa Yasiyowezekana, alafu wewe unavimalengo vinavyowezekana, au unaogopa kukusudia jambo kubwa linaloumiza kichwa, humuamini huyo Mungu.
Malengo au lengo lisilowezekana katikati ya malengo yako litakusaidia kwanza wewe ubadilike ili litokee. Wewe kabla ya kutekeleza na...
Kuna mtu mmoja kkoo hapo ni faster tu na hakuna matata baada ya tohara. Simkumbuki jina ila kuna mtu aliwahi kunielekeza huko kupata huduma kwa vijana wangu. Hata BOCH pia wako vizuri kama uko maeneo ya mbezi.
Mtu akifa anakwenda kaburini au hapo alipofia. Sio motoni au peponi.
Siku ya hukumu dunia nzima itahukumiwa kwa pamoja, hao mababu na mabibi nao watahukumiwa kwa kiwango chao cha uelewa wa mema kwa wakati wao.
Mimi nimepata hasara ya kushindwa kuwafundisha watu wangu namna ya kuwa katika viwango ambavyo vitawafanya kuwa baraka kwa familia na Taifa.
Kwa hii hitilafu nimemiss Bwana Elon Musk na Starlink yake. Nchi hii tunalazimishana kuwa masikini
Upeo wa uelewa wa kiongozi wa dini unategemea kiwango chake cha kumuelewa Mungu sio taratibu za kiriturujia za kidini. Ndio maana Yesu mtoto muumini kabisa wa miaka 12 aliwaoutsmart magwiji ya viongozi wa kidini.
Tunapaswa ķutafuta uhusiano wa juu na Mungu hii ndio muhimu sio kutafuta kutally...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.