MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 808
- 1,702
Hauwezi kutenganisha mafanikio na mhusika wa mafanikio yenyewe ambaye ni binadamu( mwenye Mwili, Nafsi na Roho)Mafanikio hayana definition ndo maana hapa kila MTU anakuwa subjective anatoa mtazamo wake
Usi-question utaharibu mada.
Wenzako wamezungumzia kiuchumi wengine kijamii sasa umezungumzia kiroho
Na ukizungumzia kiroho unakuwa upo subjective