Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Habari za siku ndugu wanajamvi. Kama ilivyo katika kichwa Cha thread hapo juu, nataka niende kulima ngano katika wilaya ya Sumbawanga. Naomba Ushauri wenu hapo Kwa wote, ili niingie katika...
1 Reactions
28 Replies
700 Views
Ndugu wakulima na wafugaji wa kibiashara natumaini hatujambo. Leo nawaletea vitabu vilivyopo kwenye maktaba yetu ya kidigitali kuona vitabu mbalimbali vya Ufugaji vilivyoandikwa ili kimsaidia...
1 Reactions
3 Replies
527 Views
Salaam ndugu wakulima nawafugaji Husika na mada tajwa hapo juu Twambie wewe ungefuga myama gani? Karibu
1 Reactions
27 Replies
1K Views
Wanajamii habari zenu wote. Polen wadau kwa Mihangaiko za hapa na pale, Ndugu zangu najua huku kuna wakulima wazuri japo wapo pia paper farmers lakini najua mkulima wakweli akitoa ushauri huwa...
1 Reactions
42 Replies
10K Views
Naitwa isaya mtewele kwa sasa napatikana ifakara najishughulisha nakupoint mchele kutoka hapa ifakara kwenda dar kwa mwenye uhitaji anaweza nicheki kwa namba 0719003163
1 Reactions
15 Replies
362 Views
Wakuu salaam Moja kwa moja kwenye topic. JE wewe una ndoto za ufugaji na hauna Banda? Je wewe ni mfanyakazi unayefanya kazi Moshi mjini au vijijini na hauna sehemu ya kufugia? Kodisha mabanda haya...
1 Reactions
22 Replies
801 Views
  • Redirect
CAM STORE INCUBATORS - KIATAMISHI MAYAI 60 / TREY 2 BEI 350,000 TU. SIFA ZA MASHINE ZETU. Zinatumia umeme solar na betri. Zinatumia computer ndogo ambayo hudhibiti kiasi cha joto na unyevu...
0 Reactions
Replies
Views
Nawasalimu wote wana jukwaa, Moja kwa moja kwenye hoja. Nakusudia kuanzisha ufugaji wa Ng’ombe, Mbuzi na Kuku. Naomba kwa wenye uzoefu mnipe maoni yenu, hususani juu ya: 1. Mikoa sahihi kwa...
7 Reactions
98 Replies
6K Views
Nyasi za Juncao ni nyasi zilizofanyiwa utafiti nchini China, utafiti ulifanywa na Profesa Zin Zhanxi wa chuo kikuu cha Fujian Agriculture and Forestry.Ni hybrid ya aina tofauti za napier na...
18 Reactions
156 Replies
17K Views
Tuna tegemea kuwa na Kiwanda kidogo cha kuzalisha chakula cha mifugo aina mbalimbali, tunahitaji mwenye ujuzi na awe na uzoefu huo kwa kazi husika. Kwa yeyote mwenye ujuzi huo namkaribisha Pm...
4 Reactions
24 Replies
796 Views
Nina mbwa mkubwa. Sasa kila mara nikiongeza wadogo ili niongeze idadi hawakai hata mwezi wanakufa. Wanapitia dalili za kunyongonyea, kupoteza hamu ya kula, wala hawarishi na then hata kam tabibu...
1 Reactions
10 Replies
258 Views
"Natoa pole kwa Wananchi wa Jimbo la Kibiti na Jimbo la Rufiji kutokana na kadhia ya mafuriko, nawaomba wananchi waendelee kuwa na subira kwani Serikali ipo kazini inaendelea kuwashughulikia...
0 Reactions
0 Replies
131 Views
Habari wadau wa ufugaji. Kumekuwa na changamoto ya upatikanaji wa mbegu bora ya samaki. Zilizopo nizile ambazo hazikui sana kufikia kiasi cha Sato mkubwa, asilimia kubwa zinakuwa kama perege. Je...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Kama habari inavyoeleza hapo juu, Mimi ni mkulima mzuri wa nyanya, nimelima zao hili kwa zaidi ya miaka kadhaa kutokana na changamoto za hapa na pale zilinifanya kuwa mzoefu na mtaalamu sana wa...
10 Reactions
118 Replies
8K Views
Wakuu niko babati nahitaji kuanzisha shamba langu la nyanya . Naomba kujua mbegu gani bora kwa kilimo cha biashara. Pia vitu gani vya msingi natakiwa kuvizingatia.
2 Reactions
9 Replies
362 Views
Bei ya mahindi Kwa gunia la kilo 100 imeshuka ghafla Mikoa ya Nyanda za Juu kutoka wastani wa sh. 80,000 Hadi sh.65,000. Serikali nayo imesitisha kununua mahindi Kwa Sababu imenunua Tani za...
15 Reactions
46 Replies
5K Views
Habari wanajamvi Ninatafuta dalali/mfanyabiashara wa mbuzi mkoani Tabora kwa yeyote anayeweza kunisaidia kwa hilo nitashukuru sana. Tuwasiliane 0788303079
0 Reactions
0 Replies
142 Views
Jambo gani naweza kufanya niweze kulinda shamba langu lisivamiwe na watu nikiwa mbali
2 Reactions
15 Replies
484 Views
MBUNGE WA RORYA MH. JAFARI WAMBURA CHEGE AWAKA NA BEI YA DAGAA KWENYE MIALO 👍Leo akichangia Wizara ya Mifugo na Uvuvi,Mbunge huyo wa Rorya Mh JWC atoa Ushauri kuhusu Bei ya Dagaa mwaroni walipo...
1 Reactions
2 Replies
192 Views
Ndugu wanajamvi. Naomba wataalamu wa kilimo wanijibu swali hili muhimu ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa miaka mingi. Kama karafuu inastawi vizuri unguja na pemba ambayo ni kisiwa chenye hali ya...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Back
Top Bottom