Kilimo Cha ngano: Naomba Ushauri, muda Gani mzuri wa kuanza kulima na namna bora ya kulima, changamoto na bajeti yake?

Kusena

JF-Expert Member
Aug 25, 2020
249
124
Habari za siku ndugu wanajamvi. Kama ilivyo katika kichwa Cha thread hapo juu, nataka niende kulima ngano katika wilaya ya Sumbawanga.

Naomba Ushauri wenu hapo Kwa wote, ili niingie katika kilimo hiki nikiwa na taarifa muhimu.

Karibuni
 
Kilimo kizuri sana hiko. Mimi nalima huku Makete Mkoa wa Njombe pamoja na kule Kilolo Mkoa wa Iringa kwenye mashamba ya ASA na nimeingia mkataba na ASA kulima mbegu. Noti ipo sana kwenye Kilimo mkuu.
 
Nitashukuru sana mkuu kama ukinisaidia details muhimu katika hiki kilimo.
 
Kilimo kizuri sana hiko. Mi nalima huku Makete Mkoa wa Njombe pamoja na kule Kilolo Mkoa wa Iringa kwenye mashamba ya ASA na nimeingia mkataba na ASA kulima mbegu. Noti ipo sana kwenye Kilimo mkuu.
Nitashukuru sana mkuu kama ukinisaidia details muhimu katika hiki kilimo.
 
Kilimo kizuri sana hiko. Mi nalima huku Makete Mkoa wa Njombe pamoja na kule Kilolo Mkoa wa Iringa kwenye mashamba ya ASA na nimeingia mkataba na ASA kulima mbegu. Noti ipo sana kwenye Kilimo mkuu.
Tiririka mkuu ,tupate madini
 
Kilimo kizuri sana hiko. Mi nalima huku Makete Mkoa wa Njombe pamoja na kule Kilolo Mkoa wa Iringa kwenye mashamba ya ASA na nimeingia mkataba na ASA kulima mbegu. Noti ipo sana kwenye Kilimo mkuu.
Mzee unasubiriwa, moto umeuwasha unakimbia tena njoo usimamie moto wako kabla haujasambaa.
 
Ni Kilimo rahisi kisicho na gharama sana. Kwa huku Makete na kule Kilolo ninapolima, roughly gharama zake ni kama ifuatavyo kwa Ekari 1:
1. Kukodi Shamba Tsh 50,000
2. Kulima Ekari 1 Tsh 70,000
3. Mbegu Kilo 50-75@2500
4. Kupanda Tsh 50,000
5. Mbolea Pandia 1bg Tsh 75,000
6. Kiuagugu(2,4-D) Tsh 24,000
7. Viuatilifu(Lumps) Tsh 50,000
8. Uvunaji Tsh 50,000
9. Kubeba/safirisha Tsh 50,000
10. Vifungashio 10-12@1000
Jumla kuu Tsh 550,000/=

Mavuno: 10-12 bgs@100Kg Tuchukue 10 tu sawa na Kilo 1000

Kilo 1 Sokoni inacheza 1500 hadi 2000. Tukichukua minimum 1500×1000=1,500,000/=

Faida= 1,500,000-550,000
Roughly 950,000 ndani ya miezi 3.

Hapo ni kila kitu kikiwa sawa. Nina uzoefu wa Kilimo hiko kwa miaka 6 sasa.
 
Mzee unasubiriwa, moto umeuwasha unakimbia tena njoo usimamie moto wako kabla haujasambaa.
Ningejua kuna hii mada leo nilipoenda shambani kukagua ngano yangu na Bwana shamba mmoja wa Serikali kule Kilolo ningepiga picha vizuri.

Kwenye hiyo picha, hiko kijani ni Ngano nilizozipanda huko Iringa. Nimeipiga leo saa 8 au 9 Mchana.
 

Attachments

  • 20240514_145157.jpg
    20240514_145157.jpg
    2.9 MB · Views: 6
Kuna vitu vya bongo vimeshindwa kupenya kwenye soko

🔹 Ngwano tunayotumia inatoka urusi, Ukraine na brazili ukilima inakula kwako, je ya bongo Haina ubora viwandani?

🔹 Makaa ya mawe yanayotumika viwandani yanatoka south Africa,je ya kwetu hayana ubora?

🔹 Chumq kinachotumika viwandani kinamtoka nje. Je vyuma vyetu vya mchuchuma na liganga vina impurities na hivyo kukosa ubora?
 
Ni Kilimo rahisi kisicho na gharama sana. Kwa huku Makete na kule Kilolo ninapolima, roughly gharama zake ni kama ifuatavyo kwa Ekari 1:
1. Kukodi Shamba Tsh 50,000
2. Kulima Ekari 1 Tsh 70,000
3. Mbegu Kilo 50-75@2500
4. Kupanda Tsh 50,000
5. Mbolea Pandia 1bg Tsh 75,000
6. Kiuagugu(2,4-D) Tsh 24,000
7. Viuatilifu(Lumps) Tsh 50,000
8. Uvunaji Tsh 50,000
9. Kubeba/safirisha Tsh 50,000
10. Vifungashio 10-12@1000
Jumla kuu Tsh 550,000/=

Mavuno: 10-12 bgs@100Kg Tuchukue 10 tu sawa na Kilo 1000

Kilo 1 Sokoni inacheza 1500 hadi 2000. Tukichukua minimum 1500×1000=1,500,000/=

Faida= 1,500,000-550,000
Roughly 950,000 ndani ya miezi 3.

Hapo ni kila kitu kikiwa sawa. Nina uzoefu wa Kilimo hiko kwa miaka 6 sasa.
Asante sana mkuu.

Je ni hatari /risk zipi hutokea katika kilimo hiki?
 
Kuna vitu vya bongo vimeshindwa kupenya kwenye soko

🔹 Ngwano tunayotumia inatoka urusi, Ukraine na brazili ukilima inakula kwako, je ya bongo Haina ubora viwandani?

🔹 Makaa ya mawe yanayotumika viwandani yanatoka south Africa,je ya kwetu hayana ubora?

🔹 Chumq kinachotumika viwandani kinamtoka nje. Je vyuma vyetu vya mchuchuma na liganga vina impurities na hivyo kukosa ubora?
Kwamba ngano ya tz hakitumiki tz au sijakuelewa?
 
Ni Kilimo rahisi kisicho na gharama sana. Kwa huku Makete na kule Kilolo ninapolima, roughly gharama zake ni kama ifuatavyo kwa Ekari 1:
1. Kukodi Shamba Tsh 50,000
2. Kulima Ekari 1 Tsh 70,000
3. Mbegu Kilo 50-75@2500
4. Kupanda Tsh 50,000
5. Mbolea Pandia 1bg Tsh 75,000
6. Kiuagugu(2,4-D) Tsh 24,000
7. Viuatilifu(Lumps) Tsh 50,000
8. Uvunaji Tsh 50,000
9. Kubeba/safirisha Tsh 50,000
10. Vifungashio 10-12@1000
Jumla kuu Tsh 550,000/=

Mavuno: 10-12 bgs@100Kg Tuchukue 10 tu sawa na Kilo 1000

Kilo 1 Sokoni inacheza 1500 hadi 2000. Tukichukua minimum 1500×1000=1,500,000/=

Faida= 1,500,000-550,000
Roughly 950,000 ndani ya miezi 3.

Hapo ni kila kitu kikiwa sawa. Nina uzoefu wa Kilimo hiko kwa miaka 6 sasa.
Mkuu naona huu Uzi wengi hawachangii hebu naomba mawasiliano yako ili nipate details kamili
 
Ni Kilimo rahisi kisicho na gharama sana. Kwa huku Makete na kule Kilolo ninapolima, roughly gharama zake ni kama ifuatavyo kwa Ekari 1:
1. Kukodi Shamba Tsh 50,000
2. Kulima Ekari 1 Tsh 70,000
3. Mbegu Kilo 50-75@2500
4. Kupanda Tsh 50,000
5. Mbolea Pandia 1bg Tsh 75,000
6. Kiuagugu(2,4-D) Tsh 24,000
7. Viuatilifu(Lumps) Tsh 50,000
8. Uvunaji Tsh 50,000
9. Kubeba/safirisha Tsh 50,000
10. Vifungashio 10-12@1000
Jumla kuu Tsh 550,000/=

Mavuno: 10-12 bgs@100Kg Tuchukue 10 tu sawa na Kilo 1000

Kilo 1 Sokoni inacheza 1500 hadi 2000. Tukichukua minimum 1500×1000=1,500,000/=

Faida= 1,500,000-550,000
Roughly 950,000 ndani ya miezi 3.

Hapo ni kila kitu kikiwa sawa. Nina uzoefu wa Kilimo hiko kwa miaka 6 sasa.
😂😂😂Dah ukisoma hivi utasema hapa ndio pakuweka Hela,ingia ulingoni Sasa🤔
 
😂😂😂Dah ukisoma hivi utasema hapa ndio pakuweka Hela,ingia ulingoni Sasa🤔
Hakuna kitu chepesi katika hii Dunia, lazima uweke mipango ili kazi iwe bora lazima ujue risks na uweke strategies ya kukabiliana na mambo ili UPATE matokeo mazuri

MUHIMU: mtu wa kwanza aliyesema upepo unaweza kutengeneza umeme walimuonaje?
Mwingine aliyekuja na idea ya maji kutengeneza umeme walimuonaje?
Je na yule aliyekuja na idea ya kutengeneza chombo kitembee angani na kibebe mizigo na watu walimuonaje?
Na hiki Ambacho Cha kupata fedha ndani ya kilimo wewe naye unaonaje?

Kila kitu kinahitaji mipango(strategies) uthubutu, na umakini. Ninachokuomba kama una details muhimu nisaidie Mimi kijana tuh na kama Kuna mtu sahihi wa kupata details hizi nisaidie contact zake.
 
Kwamba ngano ya tz hakitumiki tz au sijakuelewa?
Fuatilia wazalishaji wakubwa wa unga wa ngano , mo, Azania, na bakresa kama wanatumia ngano ya bongo. Bora ulime mpunga ni bidhaa inayouzika kwa Kila mtu
 
Fuatilia wazalishaji wakubwa wa unga wa ngano , mo, Azania, na bakresa kama wanatumia ngano ya bongo. Bora ulime mpunga ni bidhaa inayouzika kwa Kila mtu
Acha kumtisha, wananunua ngano ya Bongo. Mbona mimi nawauzia mkuu? Changamoto iliyopo kwenye Ngano ni kiasi kidogo kinachozalishwa ndio maana sasa Bashe anapambana kuhakikisha tuna mbegu nyingi za Ngano ili wakulima wazalishe kwa wingi kutosheleza soko la ndani.

Binafsi namuuzia Bakhersa na hata mzee wangu alikuwa anamuuzia yeye. Acha kutisha wenzako.
 
Acha kumtisha, wananunua ngano ya Bongo. Mbona mimi nawauzia mkuu? Changamoto iliyopo kwenye Ngano ni kiasi kidogo kinachozalishwa ndio maana sasa Bashe anapambana kuhakikisha tuna mbegu nyingi za Ngano ili wakulima wazalishe kwa wingi kutosheleza soko la ndani.

Binafsi namuuzia Bakhersa na hata mzee wangu alikuwa anamuuzia yeye. Acha kutisha wenzako.
Asante sana mkuu Kwa maelezo haya maana hata Mimi nilikua najua hilihili kwamba uzalishaji wa Ngano kitaifa ni Kidogo.
 
Back
Top Bottom