Nataka kulinda shamba langu

1-Tafuta mganga wa jadi mahiri alizindike.
2-Omba halmashauri wakupimie kitaalamu na upate hati.
3-Muite nabii aliombee.
Chagua jibu sahihi.
 
  • Thanks
Reactions: xox
sindika hapo kiasili kwanza kwenye mipaka yote, kisha ndio ufuate taratibu za kisheria na za kawaida kama kuweka walinzi
 
Tafuta tofal kama 30 mchanga na cment tafuta na fund ajenge stail kama ya kabur ela ya ufund haizid 50 malzia na chuma kilchokaa kama msalaba mwagilizia cku 5 kisha nenda katafute maisha upate hela ya kujenga sasa, apo utakua umetumia laki kulinda shamba lako kwa miaka 10 ya kujitafuta
 
hii ni changamoto sana,mkuu unalima mazao gani shamba tukijua aina ya zao tunaweza kufikiri kwa pamoja njia nyepesi ya kuzuia wizi.
 
Tafuta tofal kama 30 mchanga na cment tafuta na fund ajenge stail kama ya kabur ela ya ufund haizid 50 malzia na chuma kilchokaa kama msalaba mwagilizia cku 5 kisha nenda katafute maisha upate hela ya kujenga sasa, apo utakua umetumia laki kulinda shamba lako kwa miaka 10 ya kujitafuta
Haha wazo Bomba hili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom