jerrytz
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 5,975
- 4,266
Keyword:Katiba yenu haijampa mipaka ya nani ateue na nani asimteue. Wala haijampa vigezo vya mteuliwa zaidi ya jinsia.
Ndio nchi nyingi duniani zinazojielewa hupigania katiba bora.
Ukishajua katiba ni nini hautauliza maswali.ya aina hii
Ndio nchi nyingi duniani zinazojielewa hupigania katiba bora.
Ukishajua katiba ni nini hautauliza maswali.ya aina hii
kwahyo kwa kuwa kikatiba ana haki kuchagua yoyote ndo ateue vilaza waliotufikisha hapa tulipo???