Zitto Kabwe: Tutaendelea kuichokonoa Serikali ya Magufuli, Rais sio Mungu asiyekosolewa

Magufuli alishinda uraisi 2015, hilo utake usitake ndio ukweli huo, ushahidi? Idadi ya wabunge wa ccm bungeni, au nao utasema waliiba, fungu la kukosa, hata , mrema, mbowe, slaa na marekani nao wanasema elected president hakushinda, so hiyo trend ni ya kijinga tu na inazidi kupuuzwa.
Uko sahihi kuhusu ushindi wa Magufuli 2015 ni mtu asiyefikiri ndiye ataamini hakushinda. Ile ilikuwa nadhani ni gia ya wakina LWS kukubali kushindwa kwa kutafuta huruma za wananchi ambacho kisiasa wako sawa pia ila kiuhalisia hata wao wanajua hawakushinda. Hakuna haja ya kupoteza Muda katika hilo
 
Magufuli alishinda uraisi 2015, hilo utake usitake ndio ukweli huo, ushahidi? Idadi ya wabunge wa ccm bungeni, au nao utasema waliiba, fungu la kukosa, hata , mrema, mbowe, slaa na marekani nao wanasema elected president hakushinda, so hiyo trend ni ya kijinga tu na inazidi kupuuzwa.
Kama walishinda Kwanini waliwavamia wale vijana wa chadema

Kama walishinda Kwanini baada ya kutangaza matokeo polisi waliwavamia kituo cha haki za binadamu
 

"Tutaendelea kuichokonoa Serikali mpaka ianguke"
JPM huyo bwana ni halali yako, kama unakumbuka tulisha kutahadharisha kuwa kuna watu wanataka ushindwe.

Wamekutafutia kisa mda mrefu, hasa tuhuma za ufisadi lakini wametoka kapa na sasa wanatumia karata za natural calamities (tetemeko, ukame, mafuriko).
 
Zitto mbona hajiulizi mpasuko wa ndani ya chama chake maana kila mtu anamkimbia kwa siasa zake za usaliti na udikteta atajikuta yupo peke. Kwa mara ya kwanza naunga mkono hoja ya MBOWE alipo sema ZITTO ni MSALITI.
 
Zito na Lissu ndio wapinzani wa ukweli wasio na woga. Acha wampe ukweli ja watuambie ukweli wa yanayotokea
 
Haki ya Mungu ikitokea hawa wapinzani wote wakawa kitu kimoja Magufuli anakimbia Magogoni kabla ya 2020
 
huyu zzk ni muongo mkubwa na mnafiki. anasifia tumbua tumbua kuleta good governance maana mwanasiasa yoyote makini haweze kubeza. anasema serikali haina mahusiano na mashirika na wabia wa maendeleo. kwani yeye hajui hao wana maslahi yao na inapasa kuendesha uhusiano kwa njia makini ili kuweza kunufaika na misaada yao. kwanza hakuna mahusiano mabaya kati ya madhirika hayo ni uongo mtupu. kwa ufupi zitto kama wapinzani wengine ni mnafiki. hali ya ukame ndio imeanza msimu huu lakini vyakula toka msimu uliopita vipo na kama anavyosema jpm hakuna njaa. zitto na wapinzani wana kiu ya kutisha kupata umashuhuri hata kwa kutunga uongo kulazimisha kwamba serikali haiwajali watu na ni zembe na wao ndio wanajali hadi kuahidi chakula cha msaada utadhani wao ndio serikali.
 
Kama walishinda Kwanini waliwavamia wale vijana wa chadema

Kama walishinda Kwanini baada ya kutangaza matokeo polisi waliwavamia kituo cha haki za binadamu

Ukiacha bavicha kadhaa, hao wakorea wafaransa wakenya waliokamatwa wanahack matokeo yanopaswa kushughulikiwa na NEMC kikatiba ni wa chadema? Nasema akheri walikamatwa.

Hao wa haki za binadamu walivovamiwa mbona hawakufungua kesi mahakama za kimataifa, unaweza niambia inakuaw je alishindwa aje uraisi na wabunge wengi watokee chama chake, au unataka niambia watu walichagua tu wabunge wa ccm wakamchagua Lowasa, nina mashaka na hivyo viwanda kwa huu ufinyu wa mawazo ya kufikiri.
 
Ni jambo jema kwamba Zitto Kabwe sasa anamkosoa rais. Rais amepewa madaraka makubwa hivyo ana wajibu mkubwa kwa watanzania. Ajabu ni kwamba kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo, Zitto hakuwahi kumkosoa rais Kikwete. Ni kana kwamba Kikwete alikuwa malaika fulani asiye na doa.

Hongera sana kwa wakosoaji wa wakati wote kama Jenerali Ulimwengu. Hawa wengine wanaokosoa kwa msimu 'they can shove it'!
 
Wanasiasa wetu bana.

Rais akichukua hatua wanasema anakimbiza wawekezaji.

Rais asipochukua hatua wanasema anawaogopa wawekezaji wa nje.

Hii nchi ina vituko kifikra kutokana na unafiki wa wanasiasa.
well said, watanzania hatujuwi nini tunataka
 
Kwanza mikwambie tu ukweli ingawa Mimi sio shabiki wa Lowassa lakini ukweli unaujua kuwa Magufuli hakushinda urais 2015....

Urais wa kupewa kama ulijui hili basi wewe ndiye unachekesha.......

Mtu ambaye hakushinda hata 40% ya kula zote za urais leo na upuuzi anaofanya aje ashinde 2020 afikishe 30%.......?
Hakuna mwenye akili zake timamu anaeweza kuamini kuwa Lowassa ali ibiwa kura, nasema tena hakuna isipokuwa ni Friends of lowassa
 
hii nondo imetulia aisee hongera Zito, labda mkulu ataelewa, maana yeye ameegemea kwenye chemistry, economics na yeye ni kilaza inabidi mmtafunie kama hivi
 
Zitto kesi ya Uchochezi inakusubiri...Mtukufu wetu huyu hakosolewi,halafu umezoea.kupiga deal nani kakwambia kuna Njaa. Sasa kukosa na njaa aje kuwapikia.?
 
sijamuelewa vizuri zitto!, anashaur,anakosoa au anachokonoa. he should be specific.
 
Magufuli alishinda uraisi 2015, hilo utake usitake ndio ukweli huo, ushahidi? Idadi ya wabunge wa ccm bungeni, au nao utasema waliiba, fungu la kukosa, hata , mrema, mbowe, slaa na marekani nao wanasema elected president hakushinda, so hiyo trend ni ya kijinga tu na inazidi kupuuzwa.
90% ya wabunge wa CCM wamepata kwa figisufigisu kibao.Rushwa nyingi,utemi wa Polisi,jeshi,na Tume ya uchaguzi ikichangiwa na Makada wa CCM
 
Back
Top Bottom