Musoma Yetu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 2,633
- 2,297
Huu ni mwaka wa figisu figisu tu.
Yaani Kitendo cha mbowe kula matapishi kinamgharimu mpaka leo chama kimekosa mwelekeo kila anapogusa hapashikiki na bado ndiyo kwanza JPM hajamaliza hata mwaka mmoja.labda Kitabu cha ACT
Ni wakati wa mbowe kuitafakari kauli yake ya kubadili gia angani kama ina nafasi kwenye ilimwengu wa sasa wenye maana ya kidemokrasia. Gia ya Mbowe ilibadilishwa angani wakati wa harakati za kimpata mgombea urais ndani ya CHADEMA na sasa madhara yake hayafichiki. Mbowe, Mbowe, Mbowe hakika usaliti wa chama utakugharimu maishani.
Kwel mkuu naumiza kichwa bure kumbe ndo wametengenezwa wawe ivoachana na vilaza mimi ndie nawafahamu
Hahahaaaaaaa mnalilia pesa za mmarekani kwikkwikkwikikwiiiiiiiii.Eti kitabu wanapewa wabunge liongo hili kwanza halipo bungeni halafu linasema litapewa bungeni.
Nimecheka balaa......unaifanya siku yangu inasha poa.Nchi inaendeshwa kama episodes za telemundo..
Kuna ambao wapo kila kitu ndioooooo hawajui kufikiri nje ya hapoKwel mkuu naumiza kichwa bure kumbe ndo wametengenezwa wawe ivo
Ni mbunge au siyo mbunge?Hicho kitabu atakipata wapi wakati yupo nje ya Bunge...
Hilo nalo neno piaSerikali ya Marekani haiwezi kutoa fedha kwa serikali ambayo inapiga marufuku uhuru wa watu kuandamana kwa amani, na kusema hisia zao. Mark my words... tutasubiri sana....
Wana lumumba mlisema kuwa hamna haja ya misaada ya usaPesa inakuja, wewe subiri wazungu hawatendi uongo