Pre GE2025 Zitto Kabwe awaasa watanzania kuwa tayari kufa kidogo kwaajili ya Mfumo Mpya wa Uchaguzi, asema si lazima manufaa tuyapate sisi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Feb 6, 2017
26,199
80,266
Allah Akbar !!... Ule wakati Sasa unakaribia

Ni Mwanasiasa Nguri , Mwenye Misimamo Mkali na aliyeamua kua sehem ya historia ya Mabadiliko , Zitto Kabwe, akinukuu Maandiko Matakatifu Toka katika Quran Takatifu , amewasihi Watanzania wote nchini kua katika kuyatafuta mabadiliko ya kweli na thaman ya kura ya Mwananchi

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ni Lazima Watanzania kua tayari KUFA yaan kupoteza Uhai wao Kwa watu wachache hata kama wao haitawanufaisha Bali msingi wa mapambano haya ,uje kua na manufaa Kwa vizazi vijavyo.


Rai yangu.

Ndugu zangu Wazanzibar na Bara, Quran tukufu inakemea Uonevu, Dhuluma, Wizi Kwa aina zake zote , yamfaa nini Mwanadamu kuishi huku Jirani yake ametekwa, kauwawa, yakufaa nini kufurahia Maisha ikiwa Kura yako unayoamini itakuletea Kiongozi unayemtaka inapuuzwa ??

Pale Algeria, Misri , ni Vijana wawili tu waloamua kuyatoa Maisha yao Kwa faida ya Taifa, na Leo hii Kizazi kilichopo kinanufaika.. Mh Zitto Zuberi Kabwe anapohimiza kukubali Kufa kidogo Kwa ajili ya Wengine , amezungumza Kwa kuiwazia Pepo na sio Maisha yake ya hapa Duniani!!.... Hata lini Upinzani Zanzibar
mtadhulumiwa na akina JECHA??.

 
kufa peke yako.

hatuwezi kufa kwa ajili ya kibaraka wa mabeberu atawale nchi

tazama video jinsi alivyokuwa analipinga bwawa la jnhpp na kudanganya halitajaa maji yamepungua kwa asilimia 47.

Alikuwa hataki bwawa kujengwa sababu ya kupewa rushwa na wamiliki wa gesi
 

Attachments

  • zito bwawa.mp4
    15.9 MB
Kabisa tunapigana na kufa kumpa support mzalendo kijana kama Traore atajitokeza tungamuunga mkono. Sio hawa wahuni wanaopigania madaraka kujineenesha matumbo yao.
Shida ipo hapo..sio kama hatutaki kupambana ila tatizo hata tunayepambania achukue madaraka utofauti wao ni rangi za chama tu ila ni wale wale
 
Kama Lissu alipigwa risasi 17 na hadi kawa na kilema vile mimi ni nani nisi ipambanie nchi yangu?

Lazima tujitolee kwa vizazi vinavyokuja. Unaweza kusema usijitolee alafu ukafa kwa kukosa huduma bora kwenye hospitali hizi za CCM ambazo hawaziwekei vifaa muhimu na madawa tena kwa ugonjwa wa kawaida sana.
 
Allah Akbar !!... Ule wakati Sasa unakaribia

Ni Mwanasiasa Nguri , Mwenye Misimamo Mkali na aliyeamua kua sehem ya historia ya Mabadiliko , Zitto Kabwe, akinukuu Maandiko Matakatifu Toka katika Quran Takatifu , amewasihi Watanzania wote nchini kua katika kuyatafuta mabadiliko ya kweli na thaman ya kura ya Mwananchi

Ni Lazima Watanzania kua tayari KUFA yaan kupoteza Uhai wao Kwa watu wachache hata kama wao haitawanufaisha Bali msingi wa mapambano haya ,uje kua na manufaa Kwa vizazi vijavyo.


View: https://youtu.be/byy8tzdOm2s?si=kgyA4mmzAmTFLqRO


Rai yangu.

Ndugu zangu Wazanzibar na Bara, Quran tukufu inakemea Uonevu, Dhuluma, Wizi Kwa aina zake zote , yamfaa nini Mwanadamu kuishi huku Jirani yake ametekwa, kauwawa, yakufaa nini kufurahia Maisha ikiwa Kura yako unayoamini itakuletea Kiongozi unayemtaka inapuuzwa ?? Pale Algeria, Misri , ni Vijana wawili tu waloamua kuyatoa Maisha yao Kwa faida ya Taifa, na Leo hii Kizazi kilichopo kinanufaika.. Mh Zitto Zuberi Kabwe anapohimiza kukubali Kufa kidogo Kwa ajili ya Wengine , amezungumza Kwa kuiwazia Pepo na sio Maisha yake ya hapa Duniani!!.... Hata lini Upinzani Zanzibar mtadhulumiwa na akina JECHA??.

Atakubali kuanza kufa yeye?
 
Allah Akbar !!... Ule wakati Sasa unakaribia

Ni Mwanasiasa Nguri , Mwenye Misimamo Mkali na aliyeamua kua sehem ya historia ya Mabadiliko , Zitto Kabwe, akinukuu Maandiko Matakatifu Toka katika Quran Takatifu , amewasihi Watanzania wote nchini kua katika kuyatafuta mabadiliko ya kweli na thaman ya kura ya Mwananchi

Ni Lazima Watanzania kua tayari KUFA yaan kupoteza Uhai wao Kwa watu wachache hata kama wao haitawanufaisha Bali msingi wa mapambano haya ,uje kua na manufaa Kwa vizazi vijavyo.


View: https://youtu.be/byy8tzdOm2s?si=kgyA4mmzAmTFLqRO


Rai yangu.

Ndugu zangu Wazanzibar na Bara, Quran tukufu inakemea Uonevu, Dhuluma, Wizi Kwa aina zake zote , yamfaa nini Mwanadamu kuishi huku Jirani yake ametekwa, kauwawa, yakufaa nini kufurahia Maisha ikiwa Kura yako unayoamini itakuletea Kiongozi unayemtaka inapuuzwa ?? Pale Algeria, Misri , ni Vijana wawili tu waloamua kuyatoa Maisha yao Kwa faida ya Taifa, na Leo hii Kizazi kilichopo kinanufaika.. Mh Zitto Zuberi Kabwe anapohimiza kukubali Kufa kidogo Kwa ajili ya Wengine , amezungumza Kwa kuiwazia Pepo na sio Maisha yake ya hapa Duniani!!.... Hata lini Upinzani Zanzibar mtadhulumiwa na akina JECHA??.

Hajakamatwa?maana kwa jinsi ccm wanavyodekezwa ilibidi awe lupango,au ni wale wale ndege wafananao?!
 
Back
Top Bottom