Zitto Kabwe apata mtoto wa kike

nifah au

niliona uko sawa, kumbe mwenyewe uliyemlenga kavaa wigi na dela

Hewaa ndiyo huyo huyo.....sasa nikashangaa kuikuta kwa mtu mwingine....tena kijana wa kiume.....

Inakuwaje mtoto wa kiume utumie avator ya kike.....au kuna kitu kinaendelea kati yao.......!!!

Any way.....is non of my bussiness....
 
Msataarabu utamjua tu sio mimba tangu imeingia siku ya kwanza itapigwa picha madoido nk. Utandawazi usitufanye tukarukwa na akili. Hongera hasa kwa ustaarabu na mtoto wa kike .Vijana wengine mashuhuri acheni ushamba.
Maisha ya mwanasiasa si sawa na mwanamuziki.Kuwa muwazi acha uchimbi.
 
Hongera sana. Una IQ kubwa sana. Sisi wengine tumezoea kuwapa majina tu ilimradi jina. Hongera kwa kudhamini ukombozi wa Bara la Afrika.

Next time vile vile lipo jina la Nyerere, Tanganyika, Kikwete, Mkapa, Mwinyi nk.
Washawaita watoto wao majina ya Musa, lakini tunahenyeshwa na farao kupita maelezo!!
Wengine wameawaita mohamed usidhani wanakuwa "MTUME"

Wengine wanajiita mungu lakini wana pacemaker kumoyo.
 
Kwanini hajampa la mama yake zitto au ndo ile wanasema majina yanafuataga tabia
Uhalali wa mtoto ni mpaka mimba itungwe akiwa kwenye ndoa. Kinyume chake ni haramu tu huyo.
Anayebisha arejee maudhui ya "EDA"
 
Mkuu samahan hio avatar ni isis yawowo wale watu wakatili wanaochinja watu na kuchoma watu wakiwa hai au inamanisha kingine mkuu

Avatar nyingine sio jaman duuh...
ISIS NI GODDESS. ..please Google OSIRI ISIS NA HORUS. ...ISIS IS A GODDESS OF 10000 NAMES. .
blog_new_god_isis.jpg
blog_new_god_isis.jpg
 
Back
Top Bottom