Ndombo
Member
- Mar 18, 2017
- 79
- 64
Wakulaumiwa si wapiga kura zaid lawama ziende kwa Mbowe,Kama wenzetu wameteua hadi mawaziri wastaafu kwanin wasingeweka jina la Lowasa,Sumaye na Masha hapo ndo tungesema kweli wanaangalia walichofanya wenzao,Mbowe kaapembeni umeshindwa kuongozaZitto anaweweseka wakati Mbowe anafurahia Pamela kupeta.