Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,073
Mlipo kuwa mnamkumbatia na kumsifia kama mfalme mlidhani ni mwenzenu?ZZK hana hoja ya maana zaidi ya kutaka aonekane. Na shida hajui kama hana back up ya kiuongozi ndani ya chama chake.
Mlipo kuwa mnamkumbatia na kumsifia kama mfalme mlidhani ni mwenzenu?ZZK hana hoja ya maana zaidi ya kutaka aonekane. Na shida hajui kama hana back up ya kiuongozi ndani ya chama chake.
Hana sauti yule mamaHalafu mbona yule mama yuko kimya sana.
Wameula Wa chuyaaaaaMlipo kuwa mnamkumbatia na kumsifia kama mfalme mlidhani ni mwenzenu?
Mtoa mada anajaribu kumlilia Zitto awabebe UKAWA kwenye hoja zake, simple!Umemsoma mleta mada na kumuelewa? au unajibu ki-AUTO reply?
Wamebakia kulialia tu sasaWameula Wa chuyaaaaa
Kwa hoja zipi zzk anaweza kubeba ukawa?Mtoa mada anajaribu kumlilia Zitto awabebe UKAWA kwenye hoja zake, simple!
Endeleeni kuota mchanaKwa sasa hivi, Zitto ndo Messi wa siasa za Bongo
Hizo hizo ambazo mtoa mada analilia Zitto awashirikishe UKAWAKwa hoja zipi zzk anaweza kubeba ukawa?
Sidhani kama ukweli unaweza ficha. Kila mtu anaoneka mwenendo wake. Amekuwa mpotoshaji sana.Mlipo kuwa mnamkumbatia na kumsifia kama mfalme mlidhani ni mwenzenu?
Ukawa wapo mwanza mahakama kuu, zzk yupo kijitonyamaHizo hizo ambazo mtoa mada analilia Zitto awashirikishe UKAWA
Mkuu sijasema ZZK abebe UKAWA. NImeeleza mipango thabiti ya UKAWA tofauti na anachofanya.Mtoa mada anajaribu kumlilia Zitto awabebe UKAWA kwenye hoja zake, simple!
Kwahiyo sasa zile sifa zote mlizokuwa mna mpatia mnazifuta?Sidhani kama ukweli unaweza ficha. Kila mtu anaoneka mwenendo wake. Amekuwa mpotoshaji sana.
Hakuna asiyekosoa serikali hata kidogo. Ila kuna kukosoa na kulaghai watu. Anachofanya ni kupumbaza watu na kuwalaghai kwamba mawazo yake pekee ndo yanaweza endesha nchi.Daaaa watu mnajua jinsi ya kujipendekeza kwa wakubwa kwani zile nafasi 46 bado hazijajazwa? Muwacheni zzk aikosoe serikali maana yeye ni mbunge na ni wajibu wake
Nani alikuwa anamsifia? Hakuna kumsifia mtu. Mbona we unamuunga wakati ulikuwa unamponda?Kwahiyo sasa zile sifa zote mlizokuwa mna mpatia mnazifuta?
Haaa ndiyo mjue kuwa samaki kwake majiniHakuna asiyekosoa serikali hata kidogo. Ila kuna kukosoa na kulaghai watu. Anachofanya ni kupumbaza watu na kuwalaghai kwamba mawazo yake pekee ndo yanaweza endesha nchi.
Mambo anayo yasema na kuyaongelea ni kweli tunayaona...hakuna zaidi ya hiloNani alikuwa anamsifia? Hakuna kumsifia mtu. Mbona we unamuunga wakati ulikuwa unamponda?