Zifuatazo ni njia za kuondoa machawa

Masikio Masikio

JF-Expert Member
Apr 12, 2023
1,967
3,749
Tunafahamu machawa wamekua wengi na wanazidi kuongezeka zifuatazo ni njia za kuwaondoa machawa;-

Kuondoa wakuu wa wilaya
Watu wengi wanakua machawa kwa matarajio kwamba watapata ukuu wa wilaya, kuondoa nafasi ya wakuu wa wilaya ni moja ya njia ya kupambana na tatizo la uchawa

Rais kutokuchagua wakuu wa mikoa bali wachaguliwe na wananchi
Kama point ya kwanza watu wengi wanakua machawa wakitegemea kuwa watachaguliwa kuwa wakuu wa mkoa kuondoa mamlaka ya Rais kuchagua wakuu wa mkoa kutapunguza tatizo la uchawa

Rais kutokuchagua wakurugenzi wa wilaya kwa sababu watu wengi sana wanaamua kuwa machawa wakitegemea watachaguliwa kuwa wakurugenzi wa wilaya,

Kufuta nafasi za maras watu wengi wanamatumain kwamba wanaweza chaguliwa kuwa maras hii nayo pia itaondoa watu kuwa machawa

Nawashilisha
 
Lile lilioitwa Bunge la Katiba lingeipitisha ile Rasimu ya Katiba ya Jaji Warioba kipindi kile; basi mpaka muda huu kama nchi tungekuwa mbali sana kwenye nyanja zote za maendeleo.
lile ambalo watoto wa town walivuta mpunga mrefu halafu wakajidai kususa, kumbe wanatokomea kusiko julikana na kodi za waTz?๐Ÿ’

for sure bila ulaghai ule, saizi tusingekua tunadai kitu kile kile tulichosusia๐Ÿ’

inafika mahali mpaka unajiuliza hivi hatujui tunachohitaji ama nini.....
unakimbia majadiliano ya katiba na mkwanja mrefu wa walipa kodi, halafu mkwanja ukikuishia unadaidai tena ile ile ulosusia na kuiziria ๐Ÿ’
 
lile ambalo watoto wa town walivuta mpunga mrefu halafu wakajidai kususa, kumbe wanatokomea kusiko julikana na kodi za waTz?๐Ÿ’

for sure bila ulaghai ule, saizi tusingekua tunadai kitu kile kile tulichosusia๐Ÿ’

inafika mahali mpaka unajiuliza hivi hatujui tunachohitaji ama nini.....
unakimbia majadiliano ya katiba na mkwanja mrefu wa walipa kodi, halafu mkwanja ukikuishia unadaidai tena ile ile ulosusia na kuiziria ๐Ÿ’
Maoni ya wananchi yalibadilishwa kwa zaid ya asilimia 80 kulikua hakuna haja ya kuendelea na mchakato Ambao ulichakachuliwa
 
Maoni ya wananchi yalibadilishwa kwa zaid ya asilimia 80 kulikua hakuna haja ya kuendelea na mchakato Ambao ulichakachuliwa
ukiweka maoni ambayo wewe kwa ubinafsi wako ukadhani ni sawa mbele ya first class brain ya nchi hii pale mjengoni yatatupiliwa mbali na kubadilishwa tu ๐Ÿ’

lakini pia wananchi ni nini, lakini pia ni nani? Mfumo wetu kuhusu wanainchi kuamua ukoje ๐Ÿ’

kwamba wachache walazimishe tu wanachotaka na kikikataliwa na wengi kwa mujibu wa taratibu basi wazire au wasuse na wakimbie na kodi za wanainchi, au vise versa is true ๐Ÿ’

that one is not accepted and it is not affordable at all ๐Ÿ’
 
ukiweka maoni ambayo wewe kwa ubinafsi wako ukadhani ni sawa mbele ya first class brain ya nchi hii pale mjengoni yatatupiliwa mbali na kubadilishwa tu ๐Ÿ’

lakini pia wananchi ni nini, lakini pia ni nani? Mfumo wetu kuhusu wanainchi kuamua ukoje ๐Ÿ’

kwamba wachache walazimishe tu wanachotaka na kikikataliwa na wengi kwa mujibu wa taratibu basi wazire au wasuse na wakimbie na kodi za wanainchi, au vise versa is true ๐Ÿ’

that one is not accepted and it is not affordable at all ๐Ÿ’
Tatizo ni ccm na sio mtu mwingine
Usitake danganya watu
Kuna haja gani watu wazunguke nchi nzima alafu baade mje mtoe maon ya wananchi muweke yenu

Kwanza mlipitisha katiba kibabe bila hata ya kuwepo kwa watu wengine kwanini sababu rasimu ya katiba iliyochakachuliwa ilipitishwa chini ya samwel sitta
Kwanini hawakuenda kwenye kura ya maoni

Chadema walivyosusia hakidi haikupungua ndo maana walipitisha ila kwa aibu hawakwenda kwenye kura za maoni kwa wananchi
 
Tatizo ni ccm na sio mtu mwingine
Usitake danganya watu
Kuna haja gani watu wazunguke nchi nzima alafu baade mje mtoe maon ya wananchi muweke yenu

Kwanza mlipitisha katiba kibabe bila hata ya kuwepo kwa watu wengine kwanini sababu rasimu ya katiba iliyochakachuliwa ilipitishwa chini ya samwel sitta
Kwanini hawakuenda kwenye kura ya maoni

Chadema walivyosusia hakidi haikupungua ndo maana walipitisha ila kwa aibu hawakwenda kwenye kura za maoni kwa wananchi
sasa hayo maoni yalipelekwa mjengoni kwa first class brain ya wa inchi kwajili gani?๐Ÿ’

ndio maana hivi sasa hao mnaowaita wanainchi ndio wanawapuuza hivi sasa, kwamba mkimbie katiba then muende mbele kidogo, mrudi tena muanze kudai hiyo hiyo mloikimbia ๐Ÿ’

hata Serikali yenyewe haioni haja ya kushinikizwa wala kukimbizwa na yeyote juu ya suala la katiba. The government itaanzisha mchakato kadiri itakavyoona inafaa, full stop ๐Ÿ’

msusie na kuziria katiba, musisie na kuziria uchaguzi, sijui mlitaka kuziria na kususa mtandao gani wa cm ๐Ÿคฃ

kudeka deka tu, watu wazima hovyo sana dah ๐Ÿ’
 
sasa hayo maoni yalipelekwa mjengoni kwa first class brain ya wa inchi kwajili gani?๐Ÿ’

ndio maana hivi sasa hao mnaowaita wanainchi ndio wanawapuuza hivi sasa kwamba mkimbie katiba then muende mbele kidogo mrudi tena mdai hiyo hiyo mliikimbia ๐Ÿ’

hata Serikali yenyewe haioni haja ya kushinikizwa wala kukimbizwa na yeyote juu ya suala la katiba. The government itaanzisha mchakato kadiri itakavyoona inafaa, full stop ๐Ÿ’

msusie na kuziria katiba, musisie na kuziria uchaguzi, sijui mlitaka kuziria na kususa mtandao gani wa cm ๐Ÿคฃ

kudeka deka tu, watu wazima hovyo sana dah ๐Ÿ’
Kama wanawapuuza wekeni uchaguzi huru na haki mbona mnaiba mchana kweupe
Kama wananchi wanawakubali

Katiba sio mali ya ccm watu wote ambao ni mtanzania wanahaki ya kudai katiba sio zawadi ile ni haki ya mtanzania yeyote yule
 
Kama wanawapuuza wekeni uchaguzi huru na haki mbona mnaiba mchana kweupe
Kama wananchi wanawakubali
My friend,
Free, fair and transparent elections ya Serikali ya mtaa inafanyika mweshoni mwa mwaka huu2024 bila mbambamba yoyote bana...
mkisusa sawa mkuzira shauli yenu ๐Ÿ’

zaidi sana uchaguzi mkuu Urais, ubunge na udiwani ni mapema Oct 2025,
nao vile vile utafanyika bila mbambamba ya mtu yeyote, be prepared ๐Ÿ’
 
My friend,
Free, fair and transparent elections ya Serikali ya mtaa inafanyika mweshoni mwa mwaka huu2024 bila mbambamba yoyote bana...
mkisusa sawa mkuzira shauli yenu ๐Ÿ’

zaidi sana uchaguzi mkuu Urais, ubunge na udiwani ni mapema Oct 2025,
nao vile vile utafanyika bila mbambamba ya mtu yeyote, be prepared ๐Ÿ’
Juzi mewabia ACT mtwara mchana kweupe acha kuwa dellusional na usione kila mtu ni mjinga
 
Juzi mewabia ACT mtwara mchana kweupe acha kuwa dellusional na usione kila mtu ni mjinga
my friend,
huo wimbo ni kama dedication song ya kusindikiza salamu ๐Ÿ’

nothing will stop free fair and transparent elections here in Tz.
Ikikupendeza, susa au zira ulale nyumbani wazalendo waamue mustakabali wa nchi kwwnye sanduku la kura ๐Ÿ’

and for your information,
when it comes to elections,
CCM haina mzaha, haina huruma wala haitaona haya kugalagala kwenye matope kuomba kura na ridhaa ya wanainchi kuongoza serikali tena ๐Ÿ’

ili sasa wakati wew unashangaa na kupigwa butwaaa navyopambana kuomba kura,
wew jifungie chumbani na computer yako kuposti, kukoment, kubeza, kudharau na kukejeli sayansi ya siasa inavyotekelezwa kwa vitendo, ili siku ya kura uibiwe vizuri sana kwasabab una like nyingi sana X na Facebook ๐Ÿ’
 
Back
Top Bottom