Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,019
- 159,776
Nilikuwa sijapata wasaha wakusikiliza hii clip... leo nuimeisikiliza kwakweli nimemtamani sana huyu mwanamke...nakumuonea wivu Diamond kwakweli huyu mdada ana akili sana na kila mtu angependa kuwa na mwanamke wa namna hii.... Kwakweli nimejikuta namuangukia Zari.Ana akili sana huyu mwanamke, sichoki kumsikiliza kwakweli.... Nmezidi kumpenda bure
Mniombee Na mimi jamani!! Mkimaliza kuwaombea magu na mondi mnikumbuke na mimi!I agree with you comrade BAK. Pakawa ondoa shaka tuwaombee wawe na maisha mazuri.
Capt tunakuweka maombini.Mniombee Na mimi jamani!! Mkimaliza kuwaombea magu na mondi mnikumbuke na mimi!
Amen! Sitawaangusha!!Capt tunakuweka maombini.
Kwakweli chibu anafaidi, yani mi shabiki maandazi na enjoy hivi kumsikiliza sijui yeye anaemsikiliza na kumuona liveNilikuwa sijapata wasaha wakusikiliza hii clip... leo nuimeisikiliza kwakweli nimemtamani sana huyu mwanamke...nakumuonea wivu Diamond kwakweli huyu mdada ana akili sana na kila mtu angependa kuwa na mwanamke wa namna hii.... Kwakweli nimejikuta namuangukia Zari.
Aiseee Diamond uliposhika shikilia
Kwakweli nimeiangalia hii video kama mara nne... aisee huyu mwanamke amefundishwa communications skills yani anajua nini aongee na wapi....Kwakweli chibu anafaidi, yani mi shabiki maandazi na enjoy hivi kumsikiliza sijui yeye anaemsikiliza na kumuona live
Nmependa mpangilio, anaplan, ana strategies na utekelezaji kwakweli mafanikio hayaji to hivi hivi Nimejifunza kituKwakweli nimeiangalia hii video kama mara nne... aisee huyu mwanamke amefundishwa communications skills yani anajua nini aongee na wapi....