Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 14,691
- 30,303
Hela watoa wapi kama sio bara .....inshort bara hakuna mtu anaweza kutetea hela zetu hatuna say yeyote ..... katiba inasema kila hela ikipatika zanzibar wachukue 4% siku hizi wanachukua hadi 17% ......afu unaandika ujinga ...hapaKama muumini mkubwa wa kutumia akili vizuri ili kupata maendeleo makubwa napenda kumpongeza sana Rais wa Zanzibar kwa anavyoitengeneza Zanzibar iwe na uchumi mkubwa unaojitegemea miaka ya mbeleni.
Rasilimali kubwa inayompa maendeleo ya kweli mwanadamu ni akili. Rasilimali si madini, si maliasili maana unaweza ukawa navyo vyote ila kwa kukosa akili vinaweza kutokupa maendeleo ya kweli.
Zanzibar wameweza kulithibitisha hili kwa kuwa wametumia akili kujua kuwa fursa ya utalii ndo njia inayoweza kuwapa mapato makubwa sana huko mbeleni na kuepuka utegemezi hivyo wameamua kuwekeza kweli kwenye utalii hasa kuvutia wawekezaji ambao wanajenga mahoteli yenye hadhi ya juu kabisa kwa ajili ya kujitengeneza kama sehemu kuu ya utalii katika kanda hii ya Afrika.
Kusema ukweli nimevutiwa sana na miradi mikubwa ya ujenzi wa hoteli kubwa na za kisasa kabisa inayoendelea kujengwa Zanzibar. Miradi hii inaitangaza Zanzibar zaidi, inaifanya Zanzibar ijulikane zaidi duniani na kuvutia watu wengi kuitembelea Zanzibar na kuihakikishia kuwa na mapato makubwa na ya uhakika huko mbeleni kiasi ambacho kitaondoa utegemezi wa Zanzibar katika misaada na hata mikopo.
Zanzibar wameshagundua kuwa sehemu ya kuitumia kutoka kiuchumi ni Utalii na wanafanya kweli.
Tukija kwa Tanzania bara huku ndo kuna mabingwa wa maneno, kujisifu, kulalamika na kupiga pesa. Huku hadi sasa ni kama mtu ambae bado anajitafuta na hajajua aweke nguvu kubwa kwenye nini ili kujihakikishia kupata mapato makubwa siku za mbeleni na kuondokana na utegemezi wa misaada na mikopo kichefuchefu.
Huku kila kitu tunafanya alafu mbaya zaidi tunafanya bora liende. Hakuna kitu ambacho tunafanya kwa nguvu na akili kubwa tena kwa ufanisi kiasi ambacho tunaweza sema hiki ndo tunakifanya ili kututengenezea mapato makubwa kwa ajili ya kuondoa utegemezi huko mbeleni.
Ninachosikitika zaidi miradi mingi ya kuhu bara sio miradi ya kutengeneza fedha na mapato huko mbeleni, miradi mingi ya huku ni kwa ajili ya kutumia tu pesa kujenga majengo ya shule, ofisi, miundombinu ambayo huko mbeleni itahitaji maintenance na repair ambazo zitahitaji pia pesa ambazo bado hatujatumia akili zetu kujua tutazipata wapi kwa miaka mingi huko mbeleni.
Naisikitikia sana Tanzania Bara maana kusema kweli siioni ikiendelea kuwa sustainable kiuchumi kwa miaka mbili mbeleni.
Viongozi wa Tanzania Bara siwaoni wakitumia akili vizuri walizopewa na Mungu kuwaza, kupanga na kufanya mambo makubwa tena kwa ufanisi mkubwa kuihakikishia nchi inakuwa na mapato makubwa huko mbeleni na kuondokana na utegemezi.
Naisikitikia Tanzania Bara.
Ni Kweli Hata Sasa Miradi Mingi Inaonekana Kama Vile Haina Thamani Pia Haipewi Tena Umuhimu Wa Kuona Ikikamilika Haraka.Uchaguzi ukiisha wanaanza maandalizi ya uchaguzi ujao, unategemea kutakuwa na maendeleo hapo?.
Kuna wakati unaona kabisa bora yule alikuwa na uthubutu na tungefika japo tukiwa hoi lkn hauweni ingeonekana mbeleni.
Wawekezaji wanaojenga miradi ya mahoteli makubwa Zanzibar sio watanzania bara. Pesa hawatoi Tanzania Bara. Ni wazungu wanatoka Ulaya na Marekani na pesa zao.Hela watoa wapi kama sio bara .....inshort bara hakuna mtu anaweza kutetea hela zetu hatuna say yeyote ..... katiba inasema kila hela ikipatika zanzibar wachukue 4% siku hizi wanachukua hadi 17% ......afu unaandika ujinga ...hapa
Huuu muungano ni wa hovyo na hasara endapo upande mmoja utakosa mwakilishi mzawa yaani mfano mama samia sio mzawa wa tanganyika..... so hii sio busara upande wa tanganyika....
Muungano itabidi tuusuke upya mambo ya kuwa raisi mmoja afu upande wao pia wana rais
Sasa kilichotokea sasa zanzibar rais ni znz na tanzania kwa ujumla rais ni znz ....so uwakilishii wa tanganyika kwenye maamuzi ya mwisho uko wapi....
So acha kujifanya hujui watu tunakaa tu kimya ila muungano usukwe upya
Umeacha prime and determinant factorAcha kufananisha bara na zenji.
Znz uchumi wao unategemea tourism for more than 80%.
Bara uchumi wetu ni diverse unstegemea vitu vingi (utalii,kilimo,madini, usafirishaji, viwanda etc)
Hamia zanzibarUmeacha prime and determinant factor
Unategemea sana siasa
Haya ni maneno ya mkosaji aliyekosa akili. Ndo mana kila siku mnasema kuwa nchi za Singapore, Thailand na Korea kusini mlikuwa nazo sawa mwaka 1961 ila leo zimewaacha alafu mnajiuliza nani kawaroga?Hamia zanzibar
Mimi nadhani changamoto zetu ni vizur tukabiliane nazoHamia zanzibar
Hamia zanzibarMimi nadhani changamoto zetu ni vizur tukabiliane nazo
Na huo ndio ubinadamu. Binadamu lazima awe na stadi 4 za karne ya 21
Samahani nakutukana ila huu ndo ukweli. Huna akiliHamia zanzibar
Wewe unaongea hujui tafuta uzi humu kuhusu migao ya pesa za world bank na imf ukiliza funga bakuliWawekezaji wanaojenga miradi ya mahoteli makubwa Zanzibar sio watanzania bara. Pesa hawatoi Tanzania Bara. Ni wazungu wanatoka Ulaya na Marekani na pesa zao.
Huku bara wakiletwa wawekezaji mnasema nchi inauzwa. Mara wakuu wenu wa mikoa wanafungia sehemu za starehe na kutoa matamko ya hovyo. Endeleeni kuwa wajinga tu muone watu wanavyojua kutumia akili zao kupata maendeleo alafu nyie mkizidi kuwa nyuma.
Tukana uwezavyo I Don't give the f#$#ckSamahani nakutukana ila huu ndo ukweli. Huna akili
Huongo mtupu, eti mwekezaji kajenga shule kwa bilioni 4 kwa kubadilishana kiwanja.Wawekezaji wanaojenga miradi ya mahoteli makubwa Zanzibar sio watanzania bara. Pesa hawatoi Tanzania Bara. Ni wazungu wanatoka Ulaya na Marekani na pesa zao.
Huku bara wakiletwa wawekezaji mnasema nchi inauzwa. Mara wakuu wenu wa mikoa wanafungia sehemu za starehe na kutoa matamko ya hovyo. Endeleeni kuwa wajinga tu muone watu wanavyojua kutumia akili zao kupata maendeleo alafu nyie mkizidi kuwa nyuma.
Lazima tujitafakari! mimi nimekua mfuatiliaji sana wa masuala ya ZENJI na nimefika huko mara kadhaa kikazi na matembezi lakini kinyume na yanayosemwa humu mitandaoni kwakweli wenzetu 'wanasogea' Ogopa sehemu ambayo hawana ardhi ya kilimo lakin husikii kukitangazwa balaa la njaa kinyume na baadhi ya mikoa yetu huku!Kama muumini mkubwa wa kutumia akili vizuri ili kupata maendeleo makubwa napenda kumpongeza sana Rais wa Zanzibar kwa anavyoitengeneza Zanzibar iwe na uchumi mkubwa unaojitegemea miaka ya mbeleni.
Rasilimali kubwa inayompa maendeleo ya kweli mwanadamu ni akili. Rasilimali si madini, si maliasili maana unaweza ukawa navyo vyote ila kwa kukosa akili vinaweza kutokupa maendeleo ya kweli.
Zanzibar wameweza kulithibitisha hili kwa kuwa wametumia akili kujua kuwa fursa ya utalii ndo njia inayoweza kuwapa mapato makubwa sana huko mbeleni na kuepuka utegemezi hivyo wameamua kuwekeza kweli kwenye utalii hasa kuvutia wawekezaji ambao wanajenga mahoteli yenye hadhi ya juu kabisa kwa ajili ya kujitengeneza kama sehemu kuu ya utalii katika kanda hii ya Afrika.
Kusema ukweli nimevutiwa sana na miradi mikubwa ya ujenzi wa hoteli kubwa na za kisasa kabisa inayoendelea kujengwa Zanzibar. Miradi hii inaitangaza Zanzibar zaidi, inaifanya Zanzibar ijulikane zaidi duniani na kuvutia watu wengi kuitembelea Zanzibar na kuihakikishia kuwa na mapato makubwa na ya uhakika huko mbeleni kiasi ambacho kitaondoa utegemezi wa Zanzibar katika misaada na hata mikopo.
Zanzibar wameshagundua kuwa sehemu ya kuitumia kutoka kiuchumi ni Utalii na wanafanya kweli.
Tukija kwa Tanzania bara huku ndo kuna mabingwa wa maneno, kujisifu, kulalamika na kupiga pesa. Huku hadi sasa ni kama mtu ambae bado anajitafuta na hajajua aweke nguvu kubwa kwenye nini ili kujihakikishia kupata mapato makubwa siku za mbeleni na kuondokana na utegemezi wa misaada na mikopo kichefuchefu.
Huku kila kitu tunafanya alafu mbaya zaidi tunafanya bora liende. Hakuna kitu ambacho tunafanya kwa nguvu na akili kubwa tena kwa ufanisi kiasi ambacho tunaweza sema hiki ndo tunakifanya ili kututengenezea mapato makubwa kwa ajili ya kuondoa utegemezi huko mbeleni.
Ninachosikitika zaidi miradi mingi ya huku bara sio miradi ya kutengeneza fedha na mapato huko mbeleni, miradi mingi ya huku ni kwa ajili ya kutumia tu pesa kujenga majengo ya shule, ofisi, miundombinu ambayo huko mbeleni itahitaji maintenance na repair ambazo zitahitaji pia pesa ambazo bado hatujatumia akili zetu kujua tutazipata wapi kwa miaka mingi huko mbeleni.
Naisikitikia sana Tanzania Bara maana kusema kweli siioni ikiendelea kuwa sustainable kiuchumi kwa miaka mbili mbeleni.
Viongozi wa Tanzania Bara siwaoni wakitumia akili vizuri walizopewa na Mungu kuwaza, kupanga na kufanya mambo makubwa tena kwa ufanisi mkubwa kuihakikishia nchi inakuwa na mapato makubwa huko mbeleni na kuondokana na utegemezi.
Naisikitikia Tanzania Bara.
Acha kui overate zanzibar aiseee.Lazima tujitafakari! mimi nimekua mfuatiliaji sana wa masuala ya ZENJI na nimefika huko mara kadhaa kikazi na matembezi lakini kinyume na yanayosemwa humu mitandaoni kwakweli wenzetu 'wanasogea' Ogopa sehemu ambayo hawana ardhi ya kilimo lakin husikii kukitangazwa balaa la njaa kinyume na baadhi ya mikoa yetu huku!
Ukitaka kujua wale jamaa wana hella, angalia matumizi yao, hawana kitu wanzalisha kule, kila kitu wananunua mpka dawa ya mswaki lkn. bidhaa zao nyingi za matumizi zinatoka nje na zina viwango ni balaa (wanatumalizia fedha zetu za kigeni tu!)
Ukiangalia mahoteli ya kitalii utapata kiwewe, karibia asilimia 80% wa wafanyakazi wa majumbani, kwenye mabaa na mahoteli ni kutoka huku na wananyanyaswa kweli!!
Sisi tumebaki kujidanganya kwamba tumesoma,TUJIULIZE hivi huwa tunajilinganisha na nani? Zanzibar? sehemu yenye watu milioni 2?...wale wajamaa kwa udogo wao wa kijiografia, population na uchumi wao hata wakizalisha DEGREE 50 tu kwa mwaka ni nyingi mno! Na nasikia saivi wanazalisha zaidi ya Degee 300 kwa mwaka, wapo wanaosomea nje ya Nchi, wanaosomea vyuo vya huku Bara na wapo wanaosoma kwenye vile vyuo vyao UCHWARA ingawa vyote vipo chini ya TCU hivi kweli hawa jamaa ni wa kuwabeza? Waswahili wanasema ' MDHARAU MWIBA HUMCHOMA' Lazima tujitafakari!!!