Wadau wanaosafiri na kupita njia ya mikumi watakuwa wanamfahamu yule kichaa anaetembea barabara ya mikumi mwanzo mwisho ,yeye huwa anakatisha mikumi kwa miguu iwe asubuhi ,mchana au usiku na ni maarufu sana .mara nyingi huwa anatembea/anakatisha barabara ile
Imepita miezi 2 kichaa yule kaliwa na simba na inaonyesha alivamiwa na kuliwa usiku maana viatu na nguo zilizoraruriwa zilionekana pembeni ,kwa miaka mingi amekuwa akipita bila kudhuriwa ila siku ile sijui alikutana na simba aliyevurugwa
RIP kichaa Ras
Imepita miezi 2 kichaa yule kaliwa na simba na inaonyesha alivamiwa na kuliwa usiku maana viatu na nguo zilizoraruriwa zilionekana pembeni ,kwa miaka mingi amekuwa akipita bila kudhuriwa ila siku ile sijui alikutana na simba aliyevurugwa
RIP kichaa Ras