Yuko wapi Mh Zitto?

kwa hiyo bungeni hatokwenda?
Wewe buku 7 zitto anakuhusu nini Kama siyo unafiki tu?
Waulizie green devils wenzako ambao Kwa muda mrefu hawajulikani walipo, Kama Nyalandu, January magamba, Ezekiel Maige na faizafuska. acha unafiki wewe.
 
Wana jf wasalaam.

Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.

Wasalaam.

Kuna kiongozi alisema Kama sijakosea, "wengine wamekuwa wanasafiri nje kuliko wanavyotembelea majimbo yao".

Huyu Jeremy Corbyn ana tofauti na Lipumba, anangangania madaraka na Conservative party na SNP wamemfunika vibaya sana!
 
Back
Top Bottom