Yawezekana Miundombinu ya DSM ni Bora kuliko ya Nairobi Mafuriko yamedhihirisha hilo, tunaishukuru CCM na Rais Samia

DSM mvua kubwa sana inaonyesha Lakini madhara yanadhibitiwa na hakuna Vifo

Nairobi kwa Siku ya Jana tu Mafuriko yameuwa Watu 49 na makazi zaidi ya 10000 kuzolewa na Mafuriko

Hongera RC Chalamila kwa usimamizi Mzuri 😀
Ubora wa miundombinu ni pale unapoishi, kuisifu miundombinu usiyoijua ni ujuha.
 
DSM mvua kubwa sana inaonyesha Lakini madhara yanadhibitiwa na hakuna Vifo

Nairobi kwa Siku ya Jana tu Mafuriko yameuwa Watu 49 na makazi zaidi ya 10000 kuzolewa na Mafuriko

Hongera RC Chalamila kwa usimamizi Mzuri 😀
Nyie ndio vichawa uchwara!
Unamshukuru Chalamila na Rais leo wakati maendeleo ya Dar ni toka 1890s?
Hata baba yake mama na babu yake Chalamila hawajazaliwa!
Nyie ndo mkipona ajali mnamshukuru mama kwa kupata majeraha kiduchu!
 
Mnatutia aibu sana. Hivi watu wa mataifa mengine wanaposoma uharo kama huu sijui wanatuonaje watanzania? Eti miundombinu ya Dar ni bora kuliko Nairobi! So mafuriko yakitokea Leo Johannesburg , Cairo au California, tayari miundombinu ya Dar itakuwa bora kuliko miji hiyo? Sasa chalamila amekuwa RC Dar juzi tu, ana mchango gani wa maana ktk chochote kilichopo Dar?
Anmtukana mama ake ki silsili
 
Mnatutia aibu sana. Hivi watu wa mataifa mengine wanaposoma uharo kama huu sijui wanatuonaje watanzania? Eti miundombinu ya Dar ni bora kuliko Nairobi! So mafuriko yakitokea Leo Johannesburg , Cairo au California, tayari miundombinu ya Dar itakuwa bora kuliko miji hiyo? Sasa chalamila amekuwa RC Dar juzi tu, ana mchango gani wa maana ktk chochote kilichopo Dar?
Ccm ndio wanachojua kupiga umbea na kusifia hovyo hovyo.
 
Mkuu miundombinu yetu ni bora kuliko ya Dubai na China usisahau hilo. CCM hoyee!
 
Jf bhana,unaweza kupost hata kama upo inakata gogo🤔🤔🤔

Najiuliza tu,Chalamila amesimamia lini hiyo miundombinu🤣.

Mda mwingine muwe mnaficha umbumbu na uchawa usiokuwa na maana.

Naimani mpaka watajwa wanabaki wanashangaa.

Kwa hiyo na DUBAI je?!.
Ndo maana wazenji wanataka Watanganyika muwe na passport kuingia zenji.
Maana akili kisoda.
 
DSM mvua kubwa sana inaonyesha Lakini madhara yanadhibitiwa na hakuna Vifo

Nairobi kwa Siku ya Jana tu Mafuriko yameuwa Watu 49 na makazi zaidi ya 10000 kuzolewa na Mafuriko

Hongera RC Chalamila kwa usimamizi Mzuri 😀
Wewe labda umshukuru Chalamila kwa sababu Ni Mhehe mwenzio. Miundombinu ya Dar ilijengwa kabla ya uhuru. Chalamila hata mradi wake wa kukomesha umalaya Dar umemshinda Sasa hivi dada utamu wako kila Kona. Wewe labda umsifie kwa kunywa pombe.
 
Sijawahi kujua Kenya ipo hivii duu.
 

Attachments

  • Screenshot_20240425_092108_X.jpg
    Screenshot_20240425_092108_X.jpg
    493.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240425_092103_X.jpg
    Screenshot_20240425_092103_X.jpg
    376.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240425_092058_X.jpg
    Screenshot_20240425_092058_X.jpg
    458 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240425_092042_X.jpg
    Screenshot_20240425_092042_X.jpg
    432.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240425_092047_X.jpg
    Screenshot_20240425_092047_X.jpg
    404.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240425_092011_X.jpg
    Screenshot_20240425_092011_X.jpg
    459.5 KB · Views: 2
  • 20240425_091941.jpg
    20240425_091941.jpg
    859.7 KB · Views: 1
DSM sio kwamba hakuna vifo ni kwamba haviripotiwi mtaani kwangu tu kuna watu wa nne wamekufa maji, tabata matumbi kuna fundi mmoja amekufa na kuna eneo mtoto amezama maji akafa. Huu ni mta moja tu mkuu kuna vifo vitano
 
DSM mvua kubwa sana inaonyesha Lakini madhara yanadhibitiwa na hakuna Vifo

Nairobi kwa Siku ya Jana tu Mafuriko yameuwa Watu 49 na makazi zaidi ya 10000 kuzolewa na Mafuriko

Hongera RC Chalamila kwa usimamizi Mzuri 😀
Nairobi ni nchi yenye makazi duni mengi duniani.
Yani kuna slums nyingi Nairobi hasa Kibera slum ni slum ya pili kwa ukubwa duniani.
Nyumba nyingi za mabati ukitoka CBD unategemea mafuriko yasiue watu?
 
Nairobi kitu gani, sema miundo mbinu ya Dar ni mizuri kuliko ya Dubai, wana hali mbaya sana Dubai na ni mvua ya masaa tuu.
Dubai ni nchi jangwa isiyonyeesha mvua.
Wana miaka zaidi hata ya 50 mvua haikunyeesha mkuu.
Ndio maana nahisi miundombinu yao hawakuijenga kuwa na sewage system.
 
Nairobi ni nchi yenye makazi duni mengi duniani.
Yani kuna slums nyingi Nairobi hasa Kibera slum ni slum ya pili kwa ukubwa duniani.
Nyumba nyingi za mabati ukitoka CBD unategemea mafuriko yasiue watu?
Watu 2,500,000 wanaishi Kibera ambayo ni makazi duni (slums). Watu hawa ni kama 60% ya wakazi wote wa Nairobi.
 
Back
Top Bottom