YAVUZ YAKUZ......

Poor Brain

JF-Expert Member
Jul 5, 2019
20,775
42,584
Mapenzi yamekua changamoto sana kipindi hiki...
Ila haya ni maneno mawili ambayo yatafanya upate mpenzi ambaye atakutii na wewe utamtii yaani kiufupi mtatiana...

Maneno haya ni mawili tuu YAKUZ NA YAVUZI..

Kaa ndani peke yako hakikisha kama wa kike ujafanya mapenzi week moja kabla na kama wakiume hv hv wala ujapiga nyeto.

Maneno haya unayasema mara mia tatu ...150 YAKUZ, 150 YAVUZ.....

BAADA YA HAPO NASUBIRI MAJIBU HAPA.. KARIBUNI JA NAKARIBISHA MASWALI
 
Mapenzi yamekua changamoto sana kipindi hiki...
Ila haya ni maneno mawili ambayo yatafanya upate mpenzi ambaye atakutii na wewe utamtii yaani kiufupi mtatiana...

Maneno haya ni mawili tuu YAKUZ NA YAVUZI..

Kaa ndani peke yako hakikisha kama wa kike ujafanya mapenzi week moja kabla na kama wakiume hv hv wala ujapiga nyeto.

Maneno haya unayasema mara mia tatu ...150 YAKUZ, 150 YAVUZ.....

BAADA YA HAPO NASUBIRI MAJIBU HAPA.. KARIBUNI JA NAKARIBISHA MASWALI
Hee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom