Unajua nakaa wapi?/mbona zipo nyumba mpaka za laki moja? Au nyumba iweje? Lazma I cost hela kubwa? Mzee baba think beyond...
Asante sana mkuu, Uzi huu pia ulitaka muongelee KIA EX, watu wameongelea nyumba aanguLengo kwanza yao baadae,
Pambania unachohitaj, kama uko arusha kupata used kwa bei poa ni rahis sana
Kuna gar kama runx,alex na forester za bei poa pia unaeza pata
Nakuunga mkonoAchana na yote hayo Kwa level yako chukua terrios kid hutajuta
Hahah..ni noma jamaa sijui anataja vitu gani aiseee, mimi nilivyokuelewa unahitaji gari ya kueleweka siyo kitu chochote kinachosogea kwenda mbele ndo maana you take your timeKahahahahajaj
Yaa bei yake inaweza kuwa juu, ni subaru forester ila ina shape nzuri zaidi, probably ni new model ya hiyo uliyo post. nitajaribu kuifuatiliaHelake baba
Usikariri! Nataka gari used, mbona Subaru zipo za 6.5m.
Ave to live my dream on!
Huku kwetu mil 2 tunajenga nyumba ya familia bila wasiwasiKitendo cha kuandika una nyumba ya 2mil, uzi tayari unatia mashaka kama una muandishi serious
Huku kwetu mil 2 tunajenga nyumba ya familia bila wasiwasi