Yani KIA sorrento ex haijazungumziwa kabisa hapa JF!!!!?

Nyumba yako ujenzi umegharimu...mil 2

Gari lako manunuzi yake...more than 15mil

Somebody gotta be a fool to get fooled here!!!
Unajua nakaa wapi?/mbona zipo nyumba mpaka za laki moja? Au nyumba iweje? Lazma I cost hela kubwa? Mzee baba think beyond...
 
Lengo kwanza yao baadae,
Pambania unachohitaj, kama uko arusha kupata used kwa bei poa ni rahis sana
Kuna gar kama runx,alex na forester za bei poa pia unaeza pata
Asante sana mkuu, Uzi huu pia ulitaka muongelee KIA EX, watu wameongelea nyumba aangu
 
Nyumba yako ujenzi umegharimu...mil 2

Gari lako manunuzi yake...more than 15mil

Somebody gotta be a fool to get fooled here!!!
Usikariri! Nataka gari used, mbona Subaru zipo za 6.5m.

Ave to live my dream on!
 
Hahah..ni noma jamaa sijui anataja vitu gani aiseee, mimi nilivyokuelewa unahitaji gari ya kueleweka siyo kitu chochote kinachosogea kwenda mbele ndo maana you take your time
Haswaa ndo ivo mwanaume
 
Back
Top Bottom