another people
Member
- Jan 4, 2025
- 15
- 21
Mi nawashangaa sana watu wanaosema YANGA kuvuka makundi ni ngumu wakati kama YANGA atamfunga Al Hilal kuanzia 3 bila basi hata kuombea hilal apoteze dhidi ya TP Mazembe ili aongoze kundi
Jaman hizi calculator mmeshazimalizaMi nawashangaa sana watu wanaosema YANGA kuvuka makundi ni ngumu wakati kama YANGA atamfunga Al Hilal kuanzia 3 bila basi hata kuombea hilal apoteze dhidi ya TP Mazembe ili aongoze kundi
Unapata wapi ujasiri wa kuchangia katika uzi wa ligi ya mabingwaJaman hizi calculator mmeshazimaliza
🤔🤔Umevuka kiwango Cha kukuita kolo pro max naomba nikuite Max pro kolo
We calculator yako umedownload play store nini?Mi nawashangaa sana watu wanaosema YANGA kuvuka makundi ni ngumu wakati kama YANGA atamfunga Al Hilal kuanzia 3 bila basi hata kuombea hilal apoteze dhidi ya TP Mazembe ili aongoze kundi
Hapana ubaya ubwegeWe calculator yako umedownload play store nini?
Kama unaongea kishabiki sawa ila kisoka YANGA ana nafasi kubwa zaidi ya kufuzuTupambanie Nbc na Crdb huko kwingine sio kesi sana hapa mission iwe kumpiga kolowizo 5 in a row na kuchukua hiyo NBC tena
Mechi ya kesho ikipita ndio nitatoa mtizamo wangu ila sitaki kuweka matarajio makubwaKama unaongea kishabiki sawa ila kisoka YANGA ana nafasi kubwa zaidi ya kufuzu
Bingwa wa nini kwanza tuanzie hapo😂😂😂Unapata wapi ujasiri wa kuchangia katika uzi wa ligi ya mabingwa
🤫🤫🤫Bingwa wa nini kwanza tuanzie hapo😂😂😂
Haya bingwa tueleze wewe ni bingwa wa nini?
Ligi ya mabingwa inawakutanisha mabingwa wa ligi za nchi zaoHaya bingwa tueleze wewe ni bingwa wa nini?
Bingwa Yanga anapoint ngapi?Ligi ya mabingwa inawakutanisha mabingwa wa ligi za nchi zao
Kama ilivyo kubwa ya kufuzu ndiyo ilivyo pia kubwa ya kutofuzu.Mechi ya kesho ikipita ndio nitatoa mtizamo wangu ila sitaki kuweka matarajio makubwa