Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,334
- 9,995
Kutoka insta live ya ally Kamwe , Leo engineer HERSI ametupa wananchi breaking news ya moto ๐
๐
Engineer HERSI amesema kuwa katika msimu huu wa usajili dirisha kubwa , Kuna mchezaji mmoja uyo fundi akisajiliwa , itatengenezwa bango kubwa lenye picha ya mchezaji huyo alafu litabandikwa opposite na jengo la timu moja hapa nchini๐
Yani kwenye moja ya jengo la timu Fulani, yanga itakodisha jengo linalo angaliana na jengo la timu hiyo alafu ilojengo liliokodiwa na yanga itabandikwa bango kubwa la mchezaji huyo, ili hiyo timu itakayo kuwa jirani apo Iwe inamuona ona kwenye picha
Na picha hiyo itaishi kwenye jengo Hilo Kwa muda wa miezi 6 ๐ฅ๐ ๐ ๐
Unadhani atakua mchezaji gani huyo na hiyo picha itawekwa jirani na jengo la timu gani?!!
#travellerwayanga
Engineer HERSI amesema kuwa katika msimu huu wa usajili dirisha kubwa , Kuna mchezaji mmoja uyo fundi akisajiliwa , itatengenezwa bango kubwa lenye picha ya mchezaji huyo alafu litabandikwa opposite na jengo la timu moja hapa nchini๐
Yani kwenye moja ya jengo la timu Fulani, yanga itakodisha jengo linalo angaliana na jengo la timu hiyo alafu ilojengo liliokodiwa na yanga itabandikwa bango kubwa la mchezaji huyo, ili hiyo timu itakayo kuwa jirani apo Iwe inamuona ona kwenye picha
Na picha hiyo itaishi kwenye jengo Hilo Kwa muda wa miezi 6 ๐ฅ๐ ๐ ๐
Unadhani atakua mchezaji gani huyo na hiyo picha itawekwa jirani na jengo la timu gani?!!
#travellerwayanga