Azam akishinda mechi zote atakuwa na points 69, Yanga ina points 68, Yanga ikitoa sare mechi ua kesho watalinga points na Azam, Kwenye head to head Azam yupo juu.
HEAD TO HEAD
Yanga 3 – 2 Azam
Azam 2 – 1 Yanga
Azam ana magoli mawili ya ugenini, Yanga analo moja, kwa kigezo hiki Yanga inahitaji points 70 na sio 69,
Kesho Yanga wasicheze kwa kurelax, wahakikishe wazoa points zote
HEAD TO HEAD
Yanga 3 – 2 Azam
Azam 2 – 1 Yanga
Azam ana magoli mawili ya ugenini, Yanga analo moja, kwa kigezo hiki Yanga inahitaji points 70 na sio 69,
Kesho Yanga wasicheze kwa kurelax, wahakikishe wazoa points zote