Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 8,637
- 18,139
- Thread starter
- #41
Msitoe akina nani? Mbona mimi sikuzungumzii wewe kama nyie?nasema Yanga au Simba? Hakuna kanuni inasema wanapaswa kutoa taarifa anywhere. Elewa hapo ndugu yangu. Umesoma kanuni?Ndiyo msitoe taarifa kwa mamla yoyote ile au kwa timu mwenyeji! Kwa sababu tu kanuni inawaruhusu! Ok.