Kwa akili yako hiyo B 560 ingeshindwa kujenga T1-T3? acha mchenzo B 560 ni pesa nyingi sn.Mnapendaga kudandia magari kwa mbele mtagongwa. Hiyo ni T1 na inayojengwa ni T3. Ndiyo maana humu watu wanakurupukaga tuuuu kumbe hawajui kitu na hawataki kujifunza.
Kwa akili yako hiyo B 560 ingeshindwa kujenga T1-T3? acha mchenzo B 560 ni pesa nyingi sn.Mnapendaga kudandia magari kwa mbele mtagongwa. Hiyo ni T1 na inayojengwa ni T3. Ndiyo maana humu watu wanakurupukaga tuuuu kumbe hawajui kitu na hawataki kujifunza.
Kwa nini anafanyia uwanja wa ndege na wakati kuna ukumbi mdogo wa bunge hapo town.
Sasa hata ndege mtu hajawahi kupanda atajua tofauti ya terminal 1 & 3Mnapendaga kudandia magari kwa mbele mtagongwa. Hiyo ni T1 na inayojengwa ni T3. Ndiyo maana humu watu wanakurupukaga tuuuu kumbe hawajui kitu na hawataki kujifunza.
Raiz anaweza kufanya hivo.. Hukusikia alimtuma kinana kutibiwa indiaHivi unaweza "kutumwa" kutibiwa?![]()
Kwanini aongelee uwanja wa ndege? Kwani anasafiri?
Kumbe huu mkutano ni wa kweli. I was wondering kwann jamaa anafanyia airport, je anafanya baada ya kutua nchini au anafanya mkutano then anasepa?? Time will tell. Eeh Mungu wa Wote, Mungu wa Kina Bashite na cc raia wa kawaida saidia spika huyu acfanyiwe Kinanalization na mkutano uendelee, spika huyu actumwe India kutibiwa kwa cku 12.![]()