Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,826
Sizonje alizima Tv.
Keep on updating ur threadNdiyo nipo hapa Mubashara kabisa mkuu, stay tunned
Kushangiliwa huku kwa Prof JKHii ni ishara mbaya sana;
Katika hali inayoonyesha kuwa Watanzania kupitia kwa Wabunge wao wamemmisi Jakaya Kikwete Rais mstaafu, leo Bungeni wakati wa kuapishwa mama Salma, Wabunge wameshangilia kwa zaidi ya dakika 17. Naamini JPM atakuwa amechukia kuona JK akishangiliwa leo.
Leo hii?hivi kuna matusi yaliyobakishwa kwa JK na utawala wake? best president nitakubali lakini mahaba kwake nitawaita wanafiki tumemtusi sana yule mzee ila kwa busara zake akatujibu kwa ukimya na subira akisubiri muda ututie adabu! Tuliyonayo sasa si mapenzi bali majuto!Achukie au afurahie hakuondoi ukweli kua JK ni best president kutokea Tanzania,we love him.
Ni dakika ishirini sio kumi na sabaWamemshangilia sana na wangine wamesikika wakisema tumekumisi urudi.....Ila pinguza uongo hapo kwenye dakika 17.!
Eenh Wabunge wa CHADEMA wake kwa waume wamlilia Jakaya Bungeni yule waliokua wakimtukana kila siku.
Utakuwepo bungeni? Au umeanzisha tu thread?
Kwa ndelemo za kumshangilia Kikwete bungeni Kumbe hadi wabunge wameisha mchoka JPM kwà kiwango kikubwa sana.
Huyo mama salma kikwete ni Mbunge wa vit maalum au???