Yahya Zaid ndio ataamua mechi ya Azam vs Simba

sonofobia

JF-Expert Member
Jun 21, 2015
437
2,670
Huyu dogo anaitwa Yahya Zaid wengi hawampi sana jicho na heshima yake. Lakini huyu ndio anaamua Azam icheze vipi na ushindi wa Azam mara nyingi unaanzia kwake.

Leo ikiwa ataanzishwa na akawa kwenye ubora wake kuna uhakika wa kuchangia magoli mawili kutoka kwake na kuliteka dimba.

Mechi ya leo itaamuliwa na Yahya Zaid.

Akiwa vizuri Azam itashinda na akiwa vibaya Azam itafungwa.
 
Huyu dogo anaitwa Yahya Zaid wengi hawampi sana jicho na heshima yake. Lakini huyu ndio anaamua Azam icheze vipi na ushindi wa Azam mara nyingi unaanzia kwake.

Leo ikiwa ataanzishwa na akawa kwenye ubora wake kuna uhakika wa kuchangia magoli mawili kutoka kwake na kuliteka dimba.

Mechi ya leo itaamuliwa na Yahya Zaid.

Akiwa vizuri Azam itashinda na akiwa vibaya Azam itafungwa.

Vipi? Tupe mrejesho, Kaamuaje Mechi Leo. Kawa Kama Arajiga kwenye kuiamua Mechi
 
Huyu dogo anaitwa Yahya Zaid wengi hawampi sana jicho na heshima yake. Lakini huyu ndio anaamua Azam icheze vipi na ushindi wa Azam mara nyingi unaanzia kwake.

Leo ikiwa ataanzishwa na akawa kwenye ubora wake kuna uhakika wa kuchangia magoli mawili kutoka kwake na kuliteka dimba.

Mechi ya leo itaamuliwa na Yahya Zaid.

Akiwa vizuri Azam itashinda na akiwa vibaya Azam itafungwa.
Sawa sawa
 
Huyu dogo anaitwa Yahya Zaid wengi hawampi sana jicho na heshima yake. Lakini huyu ndio anaamua Azam icheze vipi na ushindi wa Azam mara nyingi unaanzia kwake.

Leo ikiwa ataanzishwa na akawa kwenye ubora wake kuna uhakika wa kuchangia magoli mawili kutoka kwake na kuliteka dimba.

Mechi ya leo itaamuliwa na Yahya Zaid.

Akiwa vizuri Azam itashinda na akiwa vibaya Azam itafungwa.
vipi aliamua?
 
Huyo fala sana alimuumiza Pacome maksudi na nilifurahi sana Kanute alivotaka kumvunja mguu mshenzi yule
 
Huyu dogo anaitwa Yahya Zaid wengi hawampi sana jicho na heshima yake. Lakini huyu ndio anaamua Azam icheze vipi na ushindi wa Azam mara nyingi unaanzia kwake.

Leo ikiwa ataanzishwa na akawa kwenye ubora wake kuna uhakika wa kuchangia magoli mawili kutoka kwake na kuliteka dimba.

Mechi ya leo itaamuliwa na Yahya Zaid.

Akiwa vizuri Azam itashinda na akiwa vibaya Azam itafungwa.
Ngoma alipiga kichwa mbele yake likawa goli
 
Back
Top Bottom