Wote waliolilia goli la Azizi Ki wa Yanga dhidi ya Mamelod, je mmeangalia mechi ya Asec vs As du Tunis katika hatua ya penati?

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Oct 4, 2022
1,194
2,299
Kama umeangalia hii mechi hutakuwa na sababu za kuhoji kwa nini goli la Yanga lilikataliwa.

Katika mechi hii ya ASEC VS AS du Tunis, mchezaji wa ASEC (POKU, km sijakosea) kapiga penaliti na mpira kugonga nguzo na kudundia ndani na kurudi nje lakini ule mpira ulikwa umeingia ndani 💯% na goli limekubaliwa.

Sasa siyo kuleta janja janja ya Bongo kwenye mambo ya kitaalamu. Unaweza kulia lakini usijue unalilia nini. Sasa hao mashaabiki wa Yanga walikuwa wanalilia nini. Ebu waangalie mkwaju wa penaliti ya POKU wa ASEC halafu wanyamaze haraka.
 
tambua VAR haitumiki kwenye penalty penalty.

USHAWAI KUONA WAPI REFA YEYOTE ANAENDA KWENYE SCREEN YA VAR KWENYE HATUA YA PENALTY PENALTY ?
 
Kama umeangalia hii mechi hutakuwa na sababu za kuhoji kwa nini goli la Yanga lilikataliwa.

Katika mechi hii ya ASEC VS AS du Tunis, mchezaji wa ASEC (POKU, km sijakosea) kapiga penaliti na mpira kugonga nguzo na kudundia ndani na kurudi nje lakini ule mpira ulikwa umeingia ndani 💯% na goli limekubaliwa.

Sasa siyo kuleta janja janja ya Bongo kwenye mambo ya kitaalamu. Unaweza kulia lakini usijue unalilia nini. Sasa hao mashaabiki wa Yanga walikuwa wanalilia nini. Ebu waangalie mkwaju wa penaliti ya POKU wa ASEC halafu wanyamaze haraka.
Tuambie VAR ilivyonesha kwenye bao la Aziz Ki, refa hakutaka kuangalia VAR bali alipoteza muda kwa kusimamisha mpira badala ya kuutumia kwa kuenda kuangalia VAR! Na wewe kwanini hautaki matokeo ya VAR?
 
Hii furaha niliyonayo ,nisingekuwa nayo lile goli la Yanga lingekubaliwa na kufuzu maana nimezungukwa na vyura kibao ninapokaa...ningepata shida Sana .
Achana na hao uchura,wanaliwakilisha Taifa,tuwape support 😂
Nalog off
 
Back
Top Bottom