NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,577
- 13,413
Tehe Bibi hilo
we mpya humu,karibu,ingawa uandishi wako ni wa zamani,au mambo ya ID mpya?Mmh tatizo wanaume hamtakagi wa asili.....hapa mtacomment ooh napenda natural huku mnawafata haohao wa makedown sijui![]()
kuna gift yakoKufanya nini huko pm?
Nimeshakaguliwa na babu asprin kitambooowe mpya humu,karibu,ingawa uandishi wako ni wa zamani,au mambo ya ID mpya?
Sidhani kama amempendea sura, si umesikia hapa wadau wanasema ana ka smell flani amezingi kule chini, labda dogo ni mgonjwa wa hako ka smell.Punguza ukali wa maneno mkuu, mwenzako harmonizer anamuona under 18 uyo![]()
![]()
kuna gift yako
Wamejuaje? Au huwa wanamshikia harmonizer miguuSidhani kama amempendea sura, si umesikia hapa wadau wanasema ana ka smell flani amezingi kule chini, labda dogo ni mgonjwa wa hako ka smell.
Mkuu toa like basi,kucopy nacho ni kipaji,usiwe mbahili wa like kama mangi na hela!Mwenzio keshasema makedown nawe umeona ucopy na kupaste huku.
Ukitegemea nawe ujipatie like kama yeye
teh teh tehSidhani kama amempendea sura, si umesikia hapa wadau wanasema ana ka smell flani amezingi kule chini, labda dogo ni mgonjwa wa hako ka smell.