IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,469
- 2,337
Natumia simu brand ni
oppo a 31 , Leo nipo job imegoma Ku connect WiFi sijajua shida nini wenzangu simu zao wanatumia saf mmoja ana oppo A8 lakini yangu ni big no ukiwasha ina connect then later inakuja neno
no data connection sijajua natatua vipi wakuu msaada please 🙏 kumbuka WiFi ipo na wenzangu kwao fresh.tu
Chief-Mkwawa
oppo a 31 , Leo nipo job imegoma Ku connect WiFi sijajua shida nini wenzangu simu zao wanatumia saf mmoja ana oppo A8 lakini yangu ni big no ukiwasha ina connect then later inakuja neno
no data connection sijajua natatua vipi wakuu msaada please 🙏 kumbuka WiFi ipo na wenzangu kwao fresh.tu
Chief-Mkwawa