strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,306
Roho za watu alizoziuumba mwenyez Mungu haziendi hivi hivi kwa mali alizozitengeza Mwanadamu, hakika hao walio wachoma hao binadam Mungu anajua atavyowalipa!!
wewe hujawahi kuibiwa,au unaundugu na hao vibaka,kweli ktk dunia ya Leo unaleta hoja za kumtetea kibaka?![]()
Wezi wawili wakiungua moto mbagala kwa mangaya
Siwezi kuamini kama:
Wanaweza kujichukulia sheria mkononi bila huruma. Pengine walichokiiba hawa vibaka wawili ni pipi huku adhabu ni kuondoa uhai wao bila huruma na hadharani wakishuhudiwa na waliowasulubu.
- Viongozi wa serikali za mitaa
- Wapenda Mungu
- Wenye utu
- Wanaoheshimu haki za binadamu
- wenye kujali usilotaka kutendewa usimtendee mwingine nk
Hakuna asiyewahi kuibiwa maishani, kangu nikiibiwa najua nivyoibiwa nitakavyoweza kupata vingine, lakini hii ya kwa macho yangu nishuhudia kutoa roho ya mto, na kabisa watoto wadogo wanashuhudia hilo ni malei gani kwa jamii? Sikubaliana kabisa na huwezi kunibadili katika hili, ni dhambi kusitisha uhai ambao ni zawadi ya kila mmoja wetu toka Kwa Muumba.
Ni wapi kulikoandikwa kwamba mshahara Wa dhambi ni neema? Hebu tusijifanye vipofu wa akili!! Juzi tu tumesikia wamevamia kituo na kuua askari polisi! Hawa jamaa wakija kwako ni ama zako ama zao, sasa kwa nini sisi tuwahurumie? Wachomwe tu!
Nani wa kuwakata. Akikutaja utaisaidia polisi mpaka ukome
Mwizi ni muuwaji akikuwahi anakuua,na wewe ukimuwahi toa roho kabisa huyo shetani.
Roho za watu alizoziuumba mwenyez Mungu haziendi hivi hivi kwa mali alizozitengeza Mwanadamu, hakika hao walio wachoma hao binadam Mungu anajua atavyowalipa!!
Umenena kwa busara kubwa sana mkuu.
Habari za mungu zinaingia vipi hapa kuwachoma vibaka moto ni mungu, mungu huyo kama asingetaka wawe vibaka basi si angewashushia neema zake za kuweza kumudu maisha. Unless labda una imply mungu katuumba na katuwekea mazingira ya upendeleo hivyo kuwa kibaka ni gods fate, that includes the dangers that come with it including being burned alive.God is the judge na mara nyingine anaruhusu hilo litendeke kwa makusudi ya kufundisha ama kuonya wala usiogope God is still incharge...yetu ni kujifunza
Hivi kifo ni adhabu au wajibu wa kila mmoja wetu kwenye maisha? dawa yao ilikuwa kukata mikono tu ambapo tuone kama wataiba kwa kutumia miguu..