Wenye mawazo bunifu mazuri mnakaribishwa kuyaendeleza mawazo yenu na kupata washirika kutoka ndani na nje ya nchi na uwezekano wa kupata ufadhili

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
15,155
20,812
Watu wote mnaofikiri mna mawazo bunifu manakaribishwa kuyaendeleza mawazo yenu kupitia usaidizi wa shirika lisilo la kiserikali la ResearchLink International.

Tafandhali jaza fomu iliyopo katika link hapo juu, submit na fuatilia e-mail kwa maelezo zaidi. Wazo lako linapaswa kuwa la kipekee sana na lenye ubunifu wa jambo litakaloweza kuwekwa kwenye matendo na sio mambo ya kufikirika au kuiga yaliyokwisha tendeka. Your idea must novel and original!

Vijana wasomi (university graduates) mnakaribishwa. Mtaunganishwa na potential collaborators kwa usaidizi na kwa ajili ya kuanzisha start-up au kampuni ili kuendeleza mawazo yenu.

Tafadhali fikisha ujumbe kwa wengine kwani Tanzania tupo nyuma sana katika kuchangamkia fursa kama hizi.

Asante.
 
Hilo shirika lipo chini ya nani ?


Kipindi nipo chuo ilitokea jambo Kama hili tukaandika mawazo yetu Ila at the end hatukuona feedback

Na baadhi ya mawazo yalitumika

Kumbuka huwa hakuna wazo jipya Ila kuna new way of implementation.
 
Hilo shirika lipo chini ya nani ?


Kipindi nipo chuo ilitokea jambo Kama hili tukaandika mawazo yetu Ila at the end hatukuona feedback

Na baadhi ya mawazo yalitumika

Kumbuka huwa hakuna wazo jipya Ila kuna new way of implementation.
Shirika pia linatoa usaidizi katika mambo mbalimbali kama research proposal writing, scholarship application assistance, na opportunities nyingine as on their web.
 
Shirika pia linatoa usaidizi katika mambo mbalimbali kama research proposal writing, scholarship application assistance, na opportunities nyingine as on their web.



Na fund linatoa

Mimi nina idea Ila sitoweza kui-share mtandaoni .

Ila ntapenda nipate e-mail ya mmiliki wa shirika nimtumie

Hii idea itasaidia kuipeleka Jamii mbele.
 
Na fund linatoa

Mimi nina idea Ila sitoweza kui-share mtandaoni .

Ila ntapenda nipate e-mail ya mmiliki wa shirika nimtumie

Hii idea itasaidia kuipeleka Jamii mbele.
Shirika halitoi funding kwa sasa ila linasaidia watu katika masuala mbalimbali ya kitaaluma hasa ku-tap opportunities, research assistance, data analysis, kuendeleza mawazo ya uvumbuzi, etc

Unaweza kuwasiliana kwa contact katika web ya shirika. Mkuu wa shirika e-mail address: director@researchlinktz.com
 
Naomba kuvolunteer huko kwenye shirika lenu
Program ya kuvolunteer bado haijakamilika ila shirika lingependa kujua zaidi kuhusu wote wenye interest na shirika na endapo opportunites zitatokea itakuwa rahisi kuwaona walio na interest. Kwasasa jaza form hii Google Forms: Sign-in upload na cv yako.
 
Daaah kuvolunteer ! Mawazo🫢
Shirika ni mtambuka sana na linafanya mambo mengi ya kuwasaidia vijana kujiendeleza kitaaluma, na lina mpango wa kutoa programs nyingine online kama online internships, etc. Check web ya shirika kuangalia usaidizi wa scholarships na mambo mengine.
 
Back
Top Bottom