Wenje aomba kufunga kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi

Mahakama ya ccm alafu wenje ashinde
Mkuu mbona kesi nyingi tu zilizofunguliwa na CCM dhidi ya wabunge wa UKAWA CCM wameshindwa rejea kesi iliyofunguliwa Masaburi dhidi ya Kubenea, Kipi Warioba dhidi ya Halima Mdee,Wasira dhidi ya Ester bulaya.Sheria ni msumeno unakata pande zote mbili,RPC wa mwanza alivyozuia cdm wasiage mwili wa mawazo mahakama hiyo hiyo ilitengua uwamuzi wa RPC.
 
BADO KAFULILA; SIJUI KAMA ATAPONA BORA YA MBATIA NA MREMA.

NAOMBA KAFULILA AJIONDOE MAPEMA; KWA MASLAHI YA WANANCHI HALAFU AGOMBEE 2020, NAONA KAMA ITAMBEMBA;
AFANYE KAZI ZA URAIANI KASULU KWA KUFUNGUA NGO .
MILEMBE.jpg



Doctor.jpg

 
Hii serikali si rafiki kabisa wa upinzani ni bora hata ile iliyopita, kama rais aliweza kuongea utumbo pale ilala na kuwakashifu wapinzani kuwa ni watoto wa kambo hapo kuna haki kweli itakayo tendeka?! nchi hii ni tatizo s
Safari mtanyooka tu mlishazoea kufanya mnavyotaka wakati wa Msoga,mlimuta dhaifu wenyewe sasa dhaifu kawaletea Tinga tinga.Serikali haiwezi kwa rafiki na waliberali kama nyie serikali inatakiwa kuwa rafiki na wananch wenye mapenzi mema.
 
WANASHERIA WA UKAWA WANAHUJUMU WACHUNGUZWE AU WATUMBULIWE JIPU
Image00006-4.jpg
 
Wenje ameiomba mahakama kuu , Mwanza kufuta kesi aliyoifungua ya kupinga matokeo. Yaliyompa ushindi S.Mabula, kupitia uamuzi na ushauri wa mwanasheria wake wameshauriana kuondoa kesi.

Wakili Outu ameshauri baada ya maahakama kukataa fomu 21b

Image00007-3.jpg

Image00002-4.jpg
Wewe unapotosha .sio amefuta kesi amefunga utoaji ushaidi akiwa Shahidi pekee.baada mashaidi wake wote kushindwa kukidhi vigezo na masharti ya kutoa ushahidi.lakini kesi inaendelea akiwa shahidi pekee
 
Watu walijaa mpaka mahakama ikalazimika kutumia spika? aliondoka amebebwa kwny kiti kama mfalme? Safu nzima ya CDM makao makuu ilikuwepo? natamani kujua tu....
Hahahahahahaha watu wachokozi sana nyie
 
Wewe unapotosha .sio amefuta kesi amefunga utoaji ushaidi akiwa Shahidi pekee.baada mashaidi wake wote kushindwa kukidhi vigezo na masharti ya kutoa ushahidi.lakini kesi inaendelea akiwa shahidi pekee
AMEOMBA KUFUTWA MAHAKAMA KUU MWANZA,
UNASEMAJE SASA
 
yani nyie mi siwaelewi......aendelee kukopa ili kuungurumisha kesi wakati huko bungeni kwenyewe unaambiwa paka kalala jikoni yani hakuna kitu....sasa hapo busara ni nini kama sio kuachana na siasa na kufanya mambo mengine.
 
Ni ngumu sana kupata haki katika hili kwa sababu alievuruga matokeo ni chama tawala anaeteua majaji ni rais ambae ni chama tawala , hapa lazima wapinzani wote wajiandae kushindwa tu haki yao wanapokonywa kwa kuwa hakuna mahakama huru. Mungu ndie atawalipia wawe na amani tu kwa kuwa watanzania wanaujua ukweli wao ndio waliochaguliwa na wananchi wao.
Hao hao majaji walioteuliwa na ccm kama unavyodai wamempa ushindi mbatia..hapo unasemaje?
 
...ukiona hakimu anakuwa na kigugumizi,ujue keshapokea maelekezo toka juu,waache hao mijusi wa lumumba wasioelewa waendelee kujichekelesha, kama hawaujui ukweli.
Mahakama za Tanzania ni kiwanda cha maigizo,mahakimu punguzeni njaa,wacheni kumlinda huyo naibu waziri!
Ni naibu waziri wa wizara gani na kaanza lini
 
wenje.jpg
Image00007-3.jpg


MAISHA HAYANA ADHABU ......................KUTOKA UFALME MPK KWA PILATO ; UNAJISALIMISHA.


WENJE KAWA MDOGO KAMA PILITON, BUNGENI KUNA NN , MIAKA 5 HAIKUMTOSHA??? BW.E.GE
 
Tundu Lissu, toka Mbowe amnyime ukatibu mkuu amekataa kabisa kusaidia mtu wa Chadema.
 
Back
Top Bottom